-
Maandamano ya watu wa Bahrain kupinga mapatano na utawala wa Israel
Oct 19, 2020 04:13Wananchi wenye hasira nchini Bahrain wameandamana kupinga safari ya ujumbe wa Marekani-Kizayuni katika nchi yao kwa lengo la kutangaza rasmi mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Bahrain na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wabahrain wataka iitishwe kura ya maoni kubatilisha hatua ya nchi yao kuanzisha uhusiano na Israel
Oct 18, 2020 11:38Harakati ya Kiislamu ya Al-Wifaq ya nchini Bahrain imetaka iitishwe kura ya maoni ya kubatilisha uamuzi wa utawala wa Aal Khalifa wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Bahrain yasema itawafunga jela wanaopinga uhusiano wake na Israel
Oct 14, 2020 04:31Utawala wa kifalme Bahrain umesema utawakamata na kuwafunga jela wale wote wanaopinga uhusiano wa nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Amir-Abdollahian: Israel inapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia
Oct 02, 2020 04:37Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema: Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia.
-
Sheikh Isa Qassim: Kuwa na uhusiano na Israel ni kujitenga na umma wa Kiislamu
Sep 30, 2020 03:29Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain Sheikh Isa Qassim amesema Marekani na Israel ni maadui nambari moja wa umma wa Kiislamu na kuongeza kuwa, kila ambaye ataungana na Israel, basi atakuwa amejitenga na umma wa Kiislamu.
-
Wabunge wa Ufaransa nao wapinga mapatano ya Imarati, Bahrain na Israel
Sep 21, 2020 10:10Wabunge 61 wa Bunge la Ufaransa wamekosoa mapatano ya kuanzishwa uhusiano baina ya Imaratina Bahrain na utawala haramu wa Israel.
-
Tofauti baina ya Mapatano ya Abraham, Camp David na Wadi Araba
Sep 18, 2020 03:40Nchi za Kiarabu zimesaini mapatano mara tatu na utawala wa Kizayuni wa Israel na ya hivi karibuni zaidi kati ya mapatano hayo ni yale yliyopewa jina la Mapatano ya Abraham (Abraham Accords) yaliyosainiwa tarehe 15 mwezi huu wa Septemba katika Ikulu ya Rais wa Marekani, White House. Mapatano hayo matatu yana tofauti kadhaa na muhimu.
-
Mapatano ya kuanzisha uhusiano na Israel ni dhambi isiyosameheka
Sep 17, 2020 01:27Nchi za Imarati na Bahran juzi Septemba 15 zilisaini mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Sherehe ya kutiwa saini mapatano hayo ilifanyika ikulu ya White House mjini Washington chini ya usimamizi wa Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Al-Wifaq ya Bahrain: Makubaliano na utawala haramu wa Israel ni jinai ya kihistoria
Sep 16, 2020 06:48Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Mwafaka wa Kiislamu na Kitaifa nchini Bahrain (Al Wifaq) amesema kuwa, kutiwa saini hati ya mapatano baina ya Bahrain, Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel ni jinai ya kihistoria.
-
15 Septemba, siku ya ghadhabu ya Waarabu dhidi ya watawala vibaraka
Sep 15, 2020 10:42Imarati na Bahrain leo Jumanne zinatarajiwa kutia saini mapatano ya amani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ikulu ya Rais wa Marekani, White House, mjini Washington. Hatua hii imeyakasirisha sana mataifa ya Waislamu na Waarabu ambayo yameitaja kuwa ni usaliti dhidi ya Uislamu, Palestina na Quds tukufu.