Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bashar al Assad

  • Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra

    Rais Assad alipongeza jeshi la Syria kwa kuukomboa mji wa Palmyra

    Mar 27, 2016 14:34

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amelipongeza jeshi la nchi hiyo kwa kuukomboa mji wa kihistoria wa Palmyra kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Assad ataka Waislamu waungane dhidi ya ugaidi

    Assad ataka Waislamu waungane dhidi ya ugaidi

    Mar 21, 2016 16:13

    Rais Bashar al Assad wa Syria amewataka Waislamu wote duniani kuwa kitu kimoja na kuendesha mapambano dhidi ya ugaidi unaotishia eneo na ulimwengu mzima kwa ujumla. Rais Assad ameyatamka hayo katika mkutano wa wanachama wa sekretariati kuu ya Kiarabu na Jukwaa la Kiislamu kwa ajili ya kuunga mkono muqawama uliofanyika mjini Damascus Syria.

  • Assad na Putin wakubaliana kupunguzwa vituo vya anga vya Russia nchini Syria

    Assad na Putin wakubaliana kupunguzwa vituo vya anga vya Russia nchini Syria

    Mar 15, 2016 07:07

    Ofisi ya Rais wa Syria imetangaza kuwa marais wa Russia na Syria wamekubaliana kupunguzwa idadi ya vituo vya anga vya vya jeshi la Russia nchini humo.

  • Assad: Azma ya Saudia na Uturuki kuivamia Syria ilianza miaka 2 iliyopita

    Assad: Azma ya Saudia na Uturuki kuivamia Syria ilianza miaka 2 iliyopita

    Feb 16, 2016 07:48

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema mpango wa Saudi Arabia na Uturuki kutaka kuingia kijeshi nchini Syria ulianza miaka miwili iliyopita.

  • Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Feb 15, 2016 03:08

    Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha kuwa Syria itaathiriwa na hali ya machafuko iwapo Rais Bashar Assad wa nchi hiyo atang'olewa madarakani.

  • Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Russia: Bashar Assad ni Rais halali wa Syria

    Feb 15, 2016 03:08

    Waziri Mkuu wa Russia ametahadharisha kuwa Syria itaathiriwa na hali ya machafuko iwapo Rais Bashar Assad wa nchi hiyo atang'olewa madarakani.

  • Rais Bashar al-Assad asisitiza kukombolewa ardhi yote ya Syria kutoka kwenye uvamizi wa magaidi

    Rais Bashar al-Assad asisitiza kukombolewa ardhi yote ya Syria kutoka kwenye uvamizi wa magaidi

    Feb 13, 2016 03:23

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesisitiza kuwa operesheni za jeshi na vikosi vya wananchi zitaendelea hadi kuhakikisha maeneo yote ya ardhi ya Syria yamekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS