-
Rais Bashar al-Assad: Vikwazo vya kiuchumi vya Marekani ni njia mpya ya vita dhidi ya Syria
Mar 11, 2019 08:16Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, vita dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu vimechukua mkondo mpya ambapo sasa vimeelekezwa katika mzingiro na vita vya kiuchumi.
-
Mshauri wa Bashar al-Assad: Wamarekani wamekimbia Syria
Dec 24, 2018 02:50Mshauri wa kisiasa na wa masuala ya habari wa Rais wa Syria amesema kuhusu hatua ya wanajeshi wa Marekani kuondoka nchini humo kwamba: Wamarekani wamekimbia, kwa sababu sisi tumesimama imara.
-
Maelfu ya wakazi wa Daraa, Syria waandamana kumuunga mkono Rais Bashar al Assad
Nov 16, 2018 07:48Maelafu ya wakazi wa jimbo la Daraa, kusini magharibi mwa Syria wamefanya maandamano makubwa wakimuunga mkono Rais Bashar al Assad wa nchi hiyo.
-
Rais Assad wa Syria: Kipaumbele cha kwanza cha serikali ni kuwakomboa mateka
Nov 15, 2018 03:31Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema, kipaumbele cha kwanza cha serikali ya nchi hiyo ni kuwakomboa mateka wote waliotekwa nyara na magaidi.
-
Rais wa Syria: Ushindi wa Idlib utasambaratisha mpango wa "Muamala wa Karne"
Oct 08, 2018 07:44Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuhusiana na makelele yanayofanywa na madola ya Magharibi kabla ya kuanza operesheni ya kuukomboa mkoa wa Idlib, kwamba kukombolewa mkoa huo kutafelisha mipango ya Marekani katika Mashariki ya Kati.
-
Rais Bashar al-Assad: Muda si mrefu vita vitamalizika nchini Syria
Oct 03, 2018 13:47Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, muda si mrefu vita ilivyotwishwa nchi hiyo vitamalizika na nchi hiyo kuwa na nafasi kama iliyokuwa nayo hapo awali katika ulimwengu wa Kiarabu.
-
Rais al Assad: Siasa za Marekani ni za kutoa vitisho, kuweka vikwazo na kuunga mkono ugaidi
Sep 06, 2018 02:57Akizungumza na Seneta wa jimbo la Marekani huko Damascus mji mkuu wa Syria, Rais wa Syria Bashar al Assad amesema kuwa hatua ya kutekeleza siasa za vitisho, kuweka vikwazo na kuunga mkono ugaidi ni moja ya sifa kuu za Marekani.
-
Zarif akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Syria mjini Damascus
Sep 04, 2018 03:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Bashar al-Assad wa Syria mjini Damascus na kubadilishana mawazo kuhusu masuala mbalimbali ya pande mbili na ya kieneo.
-
Kufikiwa makubaliano kati ya serikali ya Bashar al Assad na wapiganaji wa Kikurdi
Jul 30, 2018 04:41Mazungumzo kati ya serikali ya Rais Bashar al Assad wa Syria na wapiganaji wa Kikurdi wa nchi hiyo yamezaa matunda.
-
Rais al-Assad wa Syria na mkewe wazitembelea familia za mashahidi wa vita
Jul 22, 2018 03:26Rais Bashar al-Assad wa Syria pamoja na mke wake wametembelea familia za mashahidi na majeruhi wa vita wanaoishi katika kambi ya Abenau Nasr, katika kijiji cha al-Zainat cha mji wa Masyaf, magharibi mwa nchi hiyo.