-
Rais Bashar al-Assad: Uhusiano wa Syria na Iran utaendelea katika kiwango bora kabisa
Jul 16, 2018 07:42Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, licha yya vitisho vya ndani na vya nje mwenendo wa uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu umo katika hali ya kukamilika na utaendelea kuweko tena katika kiwango bora kabisa.
-
Assad: Kufanya mazungumzo na Marekani ni kupoteza wakati
Jun 23, 2018 13:57Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema ni kupoteza wakati kufanya mazungumzo na utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu mgogoro katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Tamko la kinagaubaga la Assad; uhusiano wa Iran na Syria haurubuniki
Jun 16, 2018 02:58Rais wa Syria amesema kuhusu pendekezo la Saudi Arabia la kuirubuni nchi hiyo ivunje uhusiano wake na Iran na kuwa tayari kuipatia hongo serikali ya Damascus kwamba: "Si Syria wala si Iran ambayo inatangaza mnada kuhusu uhusiano huu katika soko la kisiasa la kimataifa hata pahitajike mahali pa kufanyia muamala huo."
-
Assad: Vikosi vya Israel na Uturuki vilivyoko Syria ni vamizi
Jun 14, 2018 07:56Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel, Uturuki, Marekani na Ufaransa vilivyoko nchi humo ni vikosi vamizi.
-
Sisitizo la Bashar Asad la kuondoka askari wa Marekani katika ardhi ya Syria
Jun 02, 2018 03:55Akizungumza hapo siku ya Alkhamisi na televisheni ya Rusia al-Yaum, Rais Bashar Asad wa Syria ameashiria nafasi hasi na ya kichochezi ya Marekani katika mgogoro wa nchi hiyo na kutaka askari wake waondoke mara moja katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Rais Assad: Wanajeshi wa Marekani lazima tutawatimua Syria
May 31, 2018 14:45Rais Bashar al Assad wa Syria amesema kuwa, Wamarekani lazima watoke Syria na wanapaswa kupata funzo kutokana na yaliyowafika nchini Iraq
-
Rais wa Syria: Tusi la 'hayawani' alilotumia Trump linamaanisha hakika ya yeye mwenyewe
May 31, 2018 07:32Rais Bashar Al-Assad wa Syria amesema kuhusu lugha ya matusi aliyotumia rais wa Marekani kuhusiana na yeye kwamba: Maneno hayo yanadhihirisha shakhsia ya Trump; na ni mtu wa aina yake yeye tu ndiye anayetarajiwa kutumia lugha ya aina hiyo.
-
Ehud Yaari akiri kwamba Israel imeshindwa kuiondoa madarakani serikali ya Rais Bashar Assad, Syria
May 31, 2018 03:41Ehud Yaari, mchambuzi maarufu wa Kizayuni wa masuala ya nchi za Kiarabu amekiri kupitia kanali ya televisheni namba mbili ya utawala wa Kizayuni kuwa njama zote za Tel za kuiondoa madarakani serikali ya Rais Bashar al-Assad wa Syria zimegonga mwamba.
-
Rais Assad: Kazi pekee ya Marekani Syria ni kuwasaidia magaidi wa ISIS
May 11, 2018 03:48Rais Bashar al Assad wa Syria amesema kazi pekee ya Marekani nchini Syria ni kuwasaidia magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh.
-
Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen lateua wajumbe wake wapya
Apr 30, 2018 14:12Mahdi al Mashat amewateuwa wajumbe 32 wapya wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen katika hatua yake ya kwanza kama mkuu mpya wa baraza hilo.