Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bashar al Assad

  • Rais Assad arejesha nishani aliyopewa na 'Mtumwa wa Marekani'

    Rais Assad arejesha nishani aliyopewa na 'Mtumwa wa Marekani'

    Apr 20, 2018 07:24

    Rais Bashar al Assad wa Syria amerejesha nishani bora zaidi ya Ufaransa aliyotunukiwa na Rais Jacques Chirac mwaka 2001 na kusema hawezi kubakia na zawadi ya nchi ambayo ni mtumwa wa Marekani na ambayo imedondosha mabomu Syria.

  • Rouhani: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni uungaji mkono wa ugaidi

    Rouhani: Mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni uungaji mkono wa ugaidi

    Apr 14, 2018 17:27

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mashambulizi yaliyofanywa na Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Iran ni hatua iliyochukuliwa kuimarisha ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Assad: Kila mara Muqawama unapopata ushindi Wamagharibi wanapiga makelele

    Assad: Kila mara Muqawama unapopata ushindi Wamagharibi wanapiga makelele

    Apr 12, 2018 14:49

    Rais Bashar Assad wa Syria amesema kuwa nchi za Magharibi zimekuwa zikizusha makelele kila mara muqawama na mapambano dhidi ya magaidi na washirika wao yanapopata ushindi na mafanikio.

  • Rais Bashar al-Assad: Muungano wa Marekani unaunga mkono genge la Daesh Syria

    Rais Bashar al-Assad: Muungano wa Marekani unaunga mkono genge la Daesh Syria

    Mar 05, 2018 08:11

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, muungano wa kimataifa unaodaiwa kuwa 'dhidi ya Daesh' chini ya uongozi wa Marekani, kwa sasa umegeuka na kuwa kikosi cha anga cha kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria.

  • Russia yaponda madai ya Marekani dhidi ya Syria

    Russia yaponda madai ya Marekani dhidi ya Syria

    Feb 04, 2018 02:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imekadhibisha madai ya Marekani kwamba Syria imetengeneza na kutumia kizazi kipya cha silaha za kemikali na kusema madai hayo hayana msingi wowote.

  • Assad: Syria itaendeleza vita dhidi ya ugaidi kwa msaada wa Iran

    Assad: Syria itaendeleza vita dhidi ya ugaidi kwa msaada wa Iran

    Jan 28, 2018 04:43

    Rais Bashar al Assad wa Syria ameashiria mafanikio ya jeshi la nchi iyo katika vita dhidi ya magaidi na kusema: "Watu wa Syria wataendeleza vita dhidi ya ugaidi kwa msaada wa marafiki hasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia"

  • Rais Assad aishukuru Iran kwa msaada wake kwa Syria

    Rais Assad aishukuru Iran kwa msaada wake kwa Syria

    Jan 22, 2018 03:03

    Rais wa Syria ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa uungaji mkono wake kwa taifa la Syria na kusema: "Istikama ya wanajeshi Wairani na waitifaki wao katika medani ya vita ni jambo ambalo limetoa mchango mkubwa katika ushindi wa jeshi na taifa la Syria."

  • Rais Assad: Matatizo ya Waarabu yanasababishwa na fikra potovu

    Rais Assad: Matatizo ya Waarabu yanasababishwa na fikra potovu

    Jan 16, 2018 04:46

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, matatizo yanayoukumba ulimwengu wa Kiarabu yanatokana na fikra potovu na kwamba madamu tatizo hilo halijatatuliwa, basi bado migogoro na vita vitaendelea kushuhudiwa katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Assad: Njama za adui za kuigawa Syria zimegonga mwamba

    Assad: Njama za adui za kuigawa Syria zimegonga mwamba

    Jan 13, 2018 03:45

    Rais wa Syria ameeleza kuwa ushindi wa jeshi la nchi hiyo umepelekea kuandaliwa njia ya kurejesha amani nchini humo.

  • Rais Rouhani: Iran itaendelea kuwa pamoja na Syria katika vita dhidi ya ugaidi

    Rais Rouhani: Iran itaendelea kuwa pamoja na Syria katika vita dhidi ya ugaidi

    Nov 26, 2017 03:45

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa kuendelezwa vita dhidi ya makundi ya kigaidi na kusema kuwa, Iran itaendelea kuwa pamoja na wananchi na serikali ya Syria katika vita dhidi ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS