Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Behrouz Kamalvandi

  • Kamalvandi: Iran imeongeza uwezo wa kurutubisha urani ya nyuklia

    Kamalvandi: Iran imeongeza uwezo wa kurutubisha urani ya nyuklia

    Nov 22, 2024 23:52

    Behrouz Kamalvandi, msemaji na mkuu wa masuala ya kimataifa na kisheria katika Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amezungumzia azimio haribifu la Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya Iran na kusema: Tumeongeza kwa kiasi kikubwa uwezo wa kurutubisha madini ya urani.

  • Kamalvandi: Shutuma za IAEA dhidi ya Iran 'zimechochewa kisiasa'

    Kamalvandi: Shutuma za IAEA dhidi ya Iran 'zimechochewa kisiasa'

    Feb 24, 2023 04:29

    Ripoti zisizoisha za Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) zinazotoa shutuma za uwongo na zisizo na msingi dhidi ya mpango wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran "zina msukumo wa kisiasa" ili kuishinikiza nchi hii.

  • Msemaji wa AEOI: Madai ya IAEA kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran hayana msingi wa kisheria

    Msemaji wa AEOI: Madai ya IAEA kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran hayana msingi wa kisheria

    Sep 13, 2022 21:48

    Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema: ombwe la usimamizi ambalo Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA linadai kuwepo katika mpango wa amani wa nyuklia wa Iran halina msingi wowote wa kisheria.

  • Kamalvandi: Shughuli za nyuklia za Iran zinafanyika kwa mujibu wa sheria

    Kamalvandi: Shughuli za nyuklia za Iran zinafanyika kwa mujibu wa sheria

    Nov 26, 2021 04:34

    Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema, shughuli zote za nyuklia za Jamhuri ya Kiislamu zinafanyika kulingana na sheria, lakini kuna baadhi wanaotafuta kila njia ili waituhumu Iran.

  • Kamalvandi: Maswali ya IAEA yanapaswa kuzingatia vigezo na kuwa na ushahidi

    Kamalvandi: Maswali ya IAEA yanapaswa kuzingatia vigezo na kuwa na ushahidi

    Aug 23, 2020 22:44

    Msemaji wa Shirika la Atomiki la Iran amesema kuwa, Tehran haiwazuii wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kutembelea vituo vyake vya nishati ya nyuklia lakini maswali yanayoulizwa na wakala huo yanapaswa kuzingatia vigezo na kuwa na ushahidi wa kutosha.

  • Kuvuka sekta ya nyuklia ya Iran vikwazo haramu na vya kidhalimu vya Marekani

    Kuvuka sekta ya nyuklia ya Iran vikwazo haramu na vya kidhalimu vya Marekani

    Jan 31, 2020 21:46

    Wizara ya Fedha ya Marekani imeendeleza sera zake za ukiukaji sheria, zilizofeli na kugonga mwamba kwa kumwekea vikwazo Ali Akbar Salehi, Makamu wa Rais na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI).

  • Iran: Wakala wa IAEA kuchukuwa vipimo vya urani iliyorutubishwa Fordow + Video

    Iran: Wakala wa IAEA kuchukuwa vipimo vya urani iliyorutubishwa Fordow + Video

    Nov 09, 2019 23:17

    Msemaji wa Taasisi na Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) leo Jumapili watachukua vipimo vya urani iliyorutubishwa kwenye kituo cha nyuklia ya Fordow, hapa Iran.

  • Kamalvandi: Mashinepewa (centrifuges) za kisasa za nyuklia za Iran zaanza kufanya kazi + Video

    Kamalvandi: Mashinepewa (centrifuges) za kisasa za nyuklia za Iran zaanza kufanya kazi + Video

    Sep 07, 2019 08:28

    Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, awamu ya tatu ya kupunguza Iran kutekeleza ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA ilianza jana Ijumaa kwa amri ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kamalvandi: Iran sasa inarutubisha urani kwa kiwango cha asilimia 4.5

    Kamalvandi: Iran sasa inarutubisha urani kwa kiwango cha asilimia 4.5

    Jul 16, 2019 22:07

    Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran ameeleza kuwa hivi sasa Iran inarutubisha urani kwa kiwango cha asilimia 4.5 (asilimia nne na nusu). Amesema urutubishaji huo ni sawa na treni ya mwendokasi ambapo kituo kitakachofuata kitakuwa ni kutoka asilimia 4.5 hadi 20.

  • Iran yaifahamisha IAEA kuhusu kuanza kuzalisha gesi za UF6 na UF4

    Iran yaifahamisha IAEA kuhusu kuanza kuzalisha gesi za UF6 na UF4

    Jun 05, 2018 02:32

    Iran imeufahamisha Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki kuwa imeanzisha mchakato wa kuimarisha uwezo unaohitajika wa kuzalisha gesi aina ya UF6 na UF4 na ujenzi wa kiwanda cha kutengenza mashinepewa (centrifuge).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS