• Pongezi za Waziri wa Ulinzi wa Iran  kufuatia kukombolewa mji wa Mosul

    Pongezi za Waziri wa Ulinzi wa Iran kufuatia kukombolewa mji wa Mosul

    Jul 10, 2017 03:58

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe akiwapongeza Waziri wa Ulinzi na Kamanda wa harakati ya kujitolewa ya wananchi wa Iraq kwa jina la Hashdu Sha'abi kufuatia ushindi wa jeshi na vikosi hivyo vya wananchi katika kuukomboa kikamilifu mji wa Mosul.

  • Dehqan: Katu Iran haitasita kufanyia majaribio makombora

    Dehqan: Katu Iran haitasita kufanyia majaribio makombora

    May 10, 2016 05:13

    Wizara ya Ulinzi ya Iran imesema katu Jamhuri ya Kiislamu haitachoka kujiimarisha kiulinzi na kusisitiza kuwa haina nia au mpango wa kuacha kuyafanyia majaribio makombora yake.

  • Kerry atafakari kabla ya kutamka 'upuuzi' kuhusu Iran

    Kerry atafakari kabla ya kutamka 'upuuzi' kuhusu Iran

    Apr 09, 2016 16:07

    Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amemtaka Waziri wa Mambo ya Nje ya wa Marekani John Kerry kutafakari kabla ya kutamka maneneo ya “kipuuzi” kuhusu masuala ya kijeshi na kiulinzi ya Iran.