Jul 10, 2017 03:58
Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe akiwapongeza Waziri wa Ulinzi na Kamanda wa harakati ya kujitolewa ya wananchi wa Iraq kwa jina la Hashdu Sha'abi kufuatia ushindi wa jeshi na vikosi hivyo vya wananchi katika kuukomboa kikamilifu mji wa Mosul.