Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Bunge la Iraq kuanza kujadili mauaji ya kigaidi ya Luteni Qasem Soleimani

    Bunge la Iraq kuanza kujadili mauaji ya kigaidi ya Luteni Qasem Soleimani

    Nov 05, 2020 03:57

    Mjumbe mmoja wa Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq amesema kuwa, karibuni hivi bunge hilo litaanza kujadili faili la kuuliwa kigaidi na Marekani, Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Abu Mahdi al Muhandis na mashahidi wenzao wanane.

  • Jaji Mkuu wa Kenya amtaka Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge

    Jaji Mkuu wa Kenya amtaka Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge

    Sep 21, 2020 14:37

    Jaji Mkuu wa Kenya David Maraga Jumatatu ya leo amemshauri Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge kwa sababu ya kushindwa kutunga sheria kuhusu usawa wa kijinsia.

  • Wabunge wa Ufaransa nao wapinga mapatano ya Imarati, Bahrain na Israel

    Wabunge wa Ufaransa nao wapinga mapatano ya Imarati, Bahrain na Israel

    Sep 21, 2020 13:40

    Wabunge 61 wa Bunge la Ufaransa wamekosoa mapatano ya kuanzishwa uhusiano baina ya Imaratina Bahrain na utawala haramu wa Israel.

  • Bunge la Ethiopia lamruhusu Waziri Mkuu asalie madarakani muda wake ukiisha

    Bunge la Ethiopia lamruhusu Waziri Mkuu asalie madarakani muda wake ukiisha

    Jun 11, 2020 08:02

    Bunge la Ethiopia limepiga kura ya kumuidhinisha Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Abiy Ahmed aendelee kuwa madarakani hata baada ya muhula wake wa kuhudumu kisheria utakapomalizika.

  • Wabunge wa Iran walaani 'ugaidi wa kibaguzi' wa polisi ya Marekani

    Wabunge wa Iran walaani 'ugaidi wa kibaguzi' wa polisi ya Marekani

    Jun 03, 2020 03:55

    Wabunge 240 wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wametoa taarifa ya kulaani mwenendo wa polisi ya Marekani wa kutumia ugaidi wa kibaguzi dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • Spika mpya wa Bunge la Iran ahimiza umoja wa Waislamu dhidi ya Israel

    Spika mpya wa Bunge la Iran ahimiza umoja wa Waislamu dhidi ya Israel

    May 30, 2020 04:18

    Spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitizia umuhimu wa umoja wa Waislamu na jitihada za pamoja za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Rais Rouhani: Bunge la Iran ni nembo ya demokrasia ya kidini

    Rais Rouhani: Bunge la Iran ni nembo ya demokrasia ya kidini

    May 27, 2020 17:03

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema bunge ni nembo ya demokrasia kote duniani, lakini ni nembo ya demokrasia ya kidini katika Jamhuri ya Kiislamu.

  • Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Bunge la Awamu ya 11; sisitizo kuhusu matarajio na stratijia muhimu

    Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Bunge la Awamu ya 11; sisitizo kuhusu matarajio na stratijia muhimu

    May 27, 2020 10:23

    Awamu ya 11 ya Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, imeanza leo Jumatano kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu

    Bunge la 11 la Iran lafunguliwa kwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu

    May 27, 2020 08:02

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaka Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lililoanza shughuli zake leo Jumatano kuelekeza darubini na kujikita zaidi katika masuala ya uchumi wa kimuqawama na utamaduni.

  • Kiongozi wa upinzani ndani ya Knesset: Netanyahu anataka kuzusha vita vya ndani Israel

    Kiongozi wa upinzani ndani ya Knesset: Netanyahu anataka kuzusha vita vya ndani Israel

    May 26, 2020 08:03

    Kiongozi wa upinzani katika bunge la utawala haramu wa Kizayuni lijulikanalo kwa jina la Knesset sambamba na kukosoa vikali matamshi ya uchochezi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo aliyoyatoa mahakamani, amesema kuwa Netanyahu anafanya njama za kuibua vita vya ndani huko Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS