-
Kuvunjwa Bunge la 'Knesset' na upeo wa kisiasa wa utawala haramu wa Israel
Dec 25, 2020 06:01Bunge la utawala haramu wa Israel Knesset lilivunjwa rasmi usiku wa kuamkia Jumatano iliyopita ambapo kwa kusambaratika serikali ya muungano, sasa uchaguzi mpya wa Bunge ambao ni wanne katika kipindi cha miaka miwili unapasa kufanyika Machi 23 mwaka ujao wa 2021.
-
Libya kuanza mazungumzo kwa ajili ya kuyaunganisha mabunge ya mashariki na magharibi mwa nchi
Nov 23, 2020 09:37Wabunge wa Libya wanajiandaa kuanza mazungumzo kwa ajili ya kuyaunganisha mabunge mawili ya nchi hiyo yenye makao yao mashariki na magharibi mwa nchi.
-
Bunge la Iraq: Serikali inapasa kuwasilisha matokeo ya uchunguzi kuhusu mauaji ya Kamanda Suleimani
Nov 23, 2020 00:56Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq imeripoti kuwa inaendelea kuishinikiza serikali ya nchi hiyo ili iwasilishe haraka iwezekanavyo matokeo ya uchunguzi kuhusu mauaji ya Kamanda Luteni Jenerali Qassim Suleimani na Abu Mahdi al Muhandis.
-
Sheria mpya ya uchaguzi Iraq; namna ilivyotungwa na jinsi ilivyopokewa
Nov 08, 2020 23:02Sheria mpya ya uchaguzi ya Iraq imesainiwa na rais Barham Salih baada ya kupitishwa na bunge la nchi hiyo.
-
Bunge la Iraq kuanza kujadili mauaji ya kigaidi ya Luteni Qasem Soleimani
Nov 05, 2020 00:27Mjumbe mmoja wa Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq amesema kuwa, karibuni hivi bunge hilo litaanza kujadili faili la kuuliwa kigaidi na Marekani, Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Abu Mahdi al Muhandis na mashahidi wenzao wanane.
-
Jaji Mkuu wa Kenya amtaka Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge
Sep 21, 2020 11:07Jaji Mkuu wa Kenya David Maraga Jumatatu ya leo amemshauri Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge kwa sababu ya kushindwa kutunga sheria kuhusu usawa wa kijinsia.
-
Wabunge wa Ufaransa nao wapinga mapatano ya Imarati, Bahrain na Israel
Sep 21, 2020 10:10Wabunge 61 wa Bunge la Ufaransa wamekosoa mapatano ya kuanzishwa uhusiano baina ya Imaratina Bahrain na utawala haramu wa Israel.
-
Bunge la Ethiopia lamruhusu Waziri Mkuu asalie madarakani muda wake ukiisha
Jun 11, 2020 03:32Bunge la Ethiopia limepiga kura ya kumuidhinisha Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Abiy Ahmed aendelee kuwa madarakani hata baada ya muhula wake wa kuhudumu kisheria utakapomalizika.
-
Wabunge wa Iran walaani 'ugaidi wa kibaguzi' wa polisi ya Marekani
Jun 02, 2020 23:25Wabunge 240 wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wametoa taarifa ya kulaani mwenendo wa polisi ya Marekani wa kutumia ugaidi wa kibaguzi dhidi ya raia wa nchi hiyo.
-
Spika mpya wa Bunge la Iran ahimiza umoja wa Waislamu dhidi ya Israel
May 29, 2020 23:48Spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitizia umuhimu wa umoja wa Waislamu na jitihada za pamoja za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.