Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Bunge la Iran lapasisha muswada wa kukabili njama za Israel

    Bunge la Iran lapasisha muswada wa kukabili njama za Israel

    May 12, 2020 14:52

    Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imepasisha kwa kauli moja muswada wa dharura wa kukabili njama za utawala wa Kizayuni wa Israel, dhidi ya amani na usalama wa kieneo na kimataifa.

  • Marekani ndiyo ilipanga mashambulizi ya hivi karibuni ya Daesh nchini Iraq

    Marekani ndiyo ilipanga mashambulizi ya hivi karibuni ya Daesh nchini Iraq

    Apr 21, 2020 11:47

    Mjumbe wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa katika Bunge la Iraq amesema kuwa Wamarekani ndio waliopanga mashambulizi ya hivi karibuni ya magaidi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nchini humo.

  • Bunge la Jordan: Mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel waachiliwe huru

    Bunge la Jordan: Mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya Israel waachiliwe huru

    Apr 12, 2020 12:17

    Bunge la Jordan limetoa wito wa kuachiliwa huru mateka wote wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya kutisha ya utawala haramu wa Israel.

  • Wabunge wa India wasusia hotuba ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya kutetea sheria ya uraia

    Wabunge wa India wasusia hotuba ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya kutetea sheria ya uraia

    Mar 15, 2020 02:29

    Hotuba ya Amit Shah, Waziri wa Mambo ya Ndani wa India katika bunge la nchi hiyo iliyokuwa na lengo la kutetea sheria mpya ya uraia, imekabiliwa na upinzani mkubwa.

  • Bunge la Tunisia lapasisha serikali mpya ya nchi hiyo

    Bunge la Tunisia lapasisha serikali mpya ya nchi hiyo

    Feb 27, 2020 11:09

    Hatimaye na baada ya vuta nikuvute na malumbano makubwa ya kisiasa, Bunge la Tunisia limepasisha serikali mpya ya nchi hiyo inayoongozwa na Waziri Mkuu, Elyes Fakhfakh kwa kura 129 za diyo mkabala wa kura 77 za upinzani. Serikali mpya ya Tunisia imepasishwa baada ya mjadala mkali ulioendelea kwa muda wa masa 14.

  • Mbunge wa Iraq: Maandamano ya Ijumaa ni kura ya maoni ya kuondoa askari wa Marekani

    Mbunge wa Iraq: Maandamano ya Ijumaa ni kura ya maoni ya kuondoa askari wa Marekani

    Jan 23, 2020 11:50

    Mbunge wa Muungano wa Al Fath katika Bunge la Iraq amesema maandamano ya kesho Ijumaa nchini Iraq ni sawa na kura ya maoni ya wananchi wanaopinga kuwepo wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo.

  • Kamati ya usalama Iraq: Marekani haijawa na nafasi yoyote ya kuimarisha usalama nchini

    Kamati ya usalama Iraq: Marekani haijawa na nafasi yoyote ya kuimarisha usalama nchini

    Jan 17, 2020 02:52

    Mjumbe mwandamizi wa kamati ya usalama na ulinzi ya bunge la Iraq amesema kuwa askari vamizi wa Marekani hawajawahi kuwa na nafasi yoyote ya kuimarisha usalama na amani nchini humo.

  • Bunge la Iraq lapitisha mpango wa kuwatimua askari wa jeshi la Marekani walioko nchini humo + Video

    Bunge la Iraq lapitisha mpango wa kuwatimua askari wa jeshi la Marekani walioko nchini humo + Video

    Jan 05, 2020 16:18

    Bunge la Iraq limepiga kura na kupitisha mpango uliopendekezwa na wabunge wa kuhitimisha makubaliano ya kijeshi yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na Marekani na kuwataka wanajeshi wa Marekani waondoke nchini humo.

  • Watu zaidi ya 300 kutoa ushahidi mahakamani dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel

    Watu zaidi ya 300 kutoa ushahidi mahakamani dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel

    Dec 04, 2019 03:01

    Watu 333 watatoa ushahidi dhidi ya Benjamin Netanyahu Kwa mujibu wa mashtaka yaliyowasilishwa kwa bunge la utawala wa Kizayuni (Knesset) kuhusu mafaili ya ufisadi yanayomkabili Waziri Mkuu huyo wa utawala wa Kizayuni.

  • Bunge la Iraq laafiki kujiuzulu Waziri Mkuu Adil Abdul-Mahdi

    Bunge la Iraq laafiki kujiuzulu Waziri Mkuu Adil Abdul-Mahdi

    Dec 01, 2019 13:38

    Bunge la Iraq lililokutana kwa kikao cha dharura kilichofanyika leo limeukubali uamuzi uliochukuliwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Adil Abdul-Mahdi wa kujiuzulu wadhifa wake huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS