-
Askari wa Burundi watimuliwa CAR kutokana na jinai
Feb 12, 2016 12:20Askari watatu wa kulinda amani wa Burundi walioko Jamhuri ya Afrika ya Kati wametimuliwa baada ya kushukiwa kuwa walihusika na ukiukaji wa haki za bainadamu katika ghasia za kisiasa zinazoendelea katika nchi yao.
-
Rwanda yakanusha kuwasaidia waasi wa Burundi (Sauti)
Feb 11, 2016 14:46Kwa mara ya kwanza tangu Rwanda iliposhutumiwa na Umoja wa Mataifa kuwa inawaunga mkono waasi ambao Burundi inasema wanahatarisha usalama wake, serikali ya Kigali imekanusha rasmi madai hayo
-
Pendekezo la Ufaransa kwa Baraza la Usalama kuhusu utatuzi wa mgogoro wa Burundi
Feb 11, 2016 11:38Mwakilishi wa Kudumu wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa amewataka wanachama wa Baraza la Usalama la umoja huo kubuni mbinu mpya za kutatua mgogoro wa Burundi.