Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Canada

  • Wakazi asili wa Canada wakasirishwa na msimamo wa Papa Francis kuhusu maafa ya shule ya bweni ya Kamloops Indian

    Wakazi asili wa Canada wakasirishwa na msimamo wa Papa Francis kuhusu maafa ya shule ya bweni ya Kamloops Indian

    Jun 07, 2021 06:21

    Viongozi wa wakazi asili wa Canada na familia za wahanga wa shule za Kikatoliki nchini humo wameeleza kukasirishwa na matamshi na msimamo wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani kuhusiana na maafa ya kaburi la umati la watoto 215 lililogunduliwa nchini Canada.

  • UN yataka kufanyike uchunguzi kuhusu kaburi la umati la watoto wa wakazi asilia wa Canada

    UN yataka kufanyike uchunguzi kuhusu kaburi la umati la watoto wa wakazi asilia wa Canada

    Jun 05, 2021 02:49

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamezitaka Canada na Vatican kufanya uchunguzi kuhusu kaburi la umati lililogunduliwa likiwa na maiti 215 za watoto wa wakazi asilia katika jimbo la British Columbia huko Canada.

  • Vatican yashinikizwa kuomba radhi kwa kuhusika katika maafa ya wakazi asilia wa Canada

    Vatican yashinikizwa kuomba radhi kwa kuhusika katika maafa ya wakazi asilia wa Canada

    May 30, 2021 06:12

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, kufuatia kugunduliwa mabaki ya maiti za watoto 215 wa wakazi asilia wa Canada katika eneo la shule ya zamani ya bweni ya kanisa Katoliki huko magharibi mwa nchi hiyo, miito ya kulitaka kanisa hilo liombe radhi kutokana na maafa ya watoto hao imeongezeka zaidi.

  • Canada: Kundi la wafuasi wa Trump wenye misimamo ya kufurutu ada ni la kigaidi

    Canada: Kundi la wafuasi wa Trump wenye misimamo ya kufurutu ada ni la kigaidi

    Feb 04, 2021 04:11

    Canada imeliweka katika orodha yake ya makundi ya kigaidi kundi la mrengo wa kulia lenye misimamo ya kuchupa mipaka kwa jina la "Proud Boys" ambao ni wafuasi nambari moja wa Trump. Kundi hilo la wafuasi wa Trump wamewekwa na Canada katika orodha yake ya makundi ya kigaidi pamoja na makundi ya al Qaida na Daesh.

  • Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi

    Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi

    Jan 26, 2021 08:25

    Bunge la Canada limeitaka serikali ya nchi hiyo liliweke rasmi genge la wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na wafuasi sugu wa aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump katika orodha ya magenge ya kigaidi kama vile al-Qaeda na ISIS (Daesh).

  • Raisi: Haki za binadamu zinatumiwa kama wenzo wa kuzishinikiza nchi huru duniani

    Raisi: Haki za binadamu zinatumiwa kama wenzo wa kuzishinikiza nchi huru duniani

    Nov 23, 2020 09:46

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesema kuwa Canada inakiuka haki za binadamu na ni kimbilio la mafisadi na wahalifu. Ameongeza kuwa nchi mbaimbali duniani zimetambua kwamba haki za binadamu zimetiwa siasa kali na kugeuzwa wenzo wa kuziweka chini ya mashinikizo nchi huru duniani.

  • Waziri Mkuu wa Canada apingana na Macron, asema Uislamu hauna mfungamano na ugaidi

    Waziri Mkuu wa Canada apingana na Macron, asema Uislamu hauna mfungamano na ugaidi

    Oct 30, 2020 05:24

    Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau amesema kuwa gaidi aliyetekeleza hujuma ya kigaidi katika mji wa Nice nchini Ufaransa hawakilishi dini ya Uislamu wala Waislamu, na kwamba watu wote wanapasa kukiri ukweli huo.

  • Waislamu Canada wataka uchunguzi wa mauaji ya mwenzao nje ya msikiti Toronto

    Waislamu Canada wataka uchunguzi wa mauaji ya mwenzao nje ya msikiti Toronto

    Sep 19, 2020 08:13

    Baraza la Kitaifa la Waislamu nchini Canada limetoa mwito wa kuchunguzwa mauaji ya Muislamu nje ya msikiti mmoja mjini Toronto, na kusisitiza kuwa mauaji hayo yamecochewa na chuki za kidini.

  • Washington Post: Saudia inaongozwa na mwanamfalme wa makundi ya mauaji

    Washington Post: Saudia inaongozwa na mwanamfalme wa makundi ya mauaji

    Aug 10, 2020 05:21

    Gazeti la Washington Post la Marekani limefanya ulinganisho baina ya mauaji yaliyofanywa na Saudi Arabia dhidi ya mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa kifalme wa nchi hiyo, Jamal Khashogi, na jaribio la mauaji ya kigaidi lililofanywa na watu wa karibu na mrithi wa ufalme wa nchi hiyo Muhammad bin Salman dhidi ya mkuu wa zamani wa Idara ya Intelijensia la Saudi Arabia, Saad al Jabri na kusema Saudi Arabia inaongozwa na mrithi wa ufalme anayesimamia makundi ya mauti.

  • Hata serikali ya Canada nayo yasikitishwa na ukandamizaji wa polisi nchini Marekani

    Hata serikali ya Canada nayo yasikitishwa na ukandamizaji wa polisi nchini Marekani

    May 30, 2020 07:48

    Waziri Mkuu wa Canada amesema kuwa, nchi yake inafuatilia kwa sura ya kuemewa na woga maandamano na machafuko pamoja na ubaguzi wa rangi na ukandamizaji mkubwa unaofanywa na polisi wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS