-
Le Point: Tunisia inaporomoka kuelekea kuzimu
Feb 08, 2022 02:45Nchi ya Tunisia ambayo miaka 11 iliyopita, ilisifiwa kwa kuwa kinara wa demokrasia kati ya nchi za Kiarabu zilizokumbwa na wimbi la mapinduzi ya wananchi na kupewa hadhi ya kuwa mgeni wa heshima katika mkutano wa G7, sasa inaonekana kufifia na kuorodheshwa kati ya nchi za kifisadi.
-
Polisi ya Nigeria yafyatua gesi ya kutoa machozi katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia
Jun 13, 2021 02:50Polisi wa Nigeria wamefyatua gesi ya kutoa machozi kutawanya waandamanaji wanaopinga serikali huko Lagos na katika mji mkuu, Abuja, na ripoti zinasema kuwa baadhi ya wanaadamanaji hao wakamatwa na wengine kujeruhiwa.
-
Democrats: Tutaanzisha mchakato wa kumg'oa madarakani Trump
Feb 23, 2017 14:30Wabunge na wanasiasa wa chama cha Democrat nchini Marekani wanasema mienendo ya Rais wa nchi hiyo Donald Trump katika muda wa wiki tatu zilizopita imeibua uwezekano kuanzishwa mchakato wa kumng'oa mamlakani rais huyo.