Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Iran kuishtaki Marekani kwa kutumia ushahidi wa Trump

    Iran kuishtaki Marekani kwa kutumia ushahidi wa Trump

    May 30, 2018 08:10

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inajiandaa kuishtaki Marekani kwa kushiriki kwa njia isiyo ya moja kwa moja katika mashambulizi ya kigaidi ya mwaka jana hapa nchini, kwa kutumia ushahidi wa Rais Donald Trump.

  • Waziri Mkuu wa Iraq atoa amri ya kufuatiliwa magaidi wa Daesh nje ya mipaka ya Iraq

    Waziri Mkuu wa Iraq atoa amri ya kufuatiliwa magaidi wa Daesh nje ya mipaka ya Iraq

    May 23, 2018 03:31

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitizia ulazima wa kudhaminiwa usalama wa mipaka ya nchi hiyo na kufanyika operesheni dhidi ya wafuasi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nje ya mipaka ya Iraq.

  • Ndege za Marekani zashuhudiwa zikiwatumia silaha mabaki ya Daesh (ISIS) nchini Syria

    Ndege za Marekani zashuhudiwa zikiwatumia silaha mabaki ya Daesh (ISIS) nchini Syria

    May 19, 2018 14:16

    Kwa mara nyingine wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) wamepewa msaada wa silaha na askari wa Marekani na kuwawezesha kuingia eneo la wazi la kusini magharibi mwa jimbo la Deir ez-Zor nchini Syria.

  • Magaidi wa genge la Daesh na Jaishul-Hur washambuliana vikali kusini mwa Syria

    Magaidi wa genge la Daesh na Jaishul-Hur washambuliana vikali kusini mwa Syria

    May 15, 2018 02:41

    Magaidi wa makundi ya ukufurishaji ya Daesh (ISIS) na kundi la Jeishul-Hur (Jeshi huru), wameshambuliana vikali magharibi mwa mkoa wa Daraa, nchini Syria na kusababisha maafa makubwa kati yao.

  • Iran: Daesh ni silaha ya Marekani dhidi ya usalama wa Mashariki ya Kati

    Iran: Daesh ni silaha ya Marekani dhidi ya usalama wa Mashariki ya Kati

    May 13, 2018 07:42

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelitaja kundi la kigaidi na kitakfri la Daesh (ISIS) kama chombo cha Marekani na madola mengine ya kibeberu cha kuvuruga usalama katika eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Wairaqi wanaelekea vituo vya kupigia kura kuchagua bunge la nne tangu baada ya enzi za Saddam

    Wairaqi wanaelekea vituo vya kupigia kura kuchagua bunge la nne tangu baada ya enzi za Saddam

    May 12, 2018 04:16

    Uchaguzi wa nne wa bunge unafanyika nchini Iraq hii leo tangu ulipoangushwa utawala wa kidikteta wa Saddam mwaka 2003 na wa kwanza baada ya kusambaratishwa na kutokomezwa kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) katika nchi hiyo.

  • Wanawake waliojiunga na kundi la kigaidi ISIS wafungwa jela Iran

    Wanawake waliojiunga na kundi la kigaidi ISIS wafungwa jela Iran

    May 07, 2018 03:37

    Wanawake 16 waliokuwa wamejiunga na kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh wamehukumiwa vifungo jela nchini Iran.

  • Wapiganaji wa Hashdu sh-Sha'abi wawaangamiza magaidi wa Daesh

    Wapiganaji wa Hashdu sh-Sha'abi wawaangamiza magaidi wa Daesh

    May 01, 2018 04:12

    Duru kutoka Iraq zimearifu kuwa wapiganaji wa harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi wamewaua magaidi kadhaa wa kundi la kitakfiri la Daesh katika mashambulizi waliyofanya katika eneo moja katika mpaka wa Iraq na Syria.

  • Kufichuliwa ushirikiano wa serikali ya Ufaransa na kundi la kigaidi la ISIS

    Kufichuliwa ushirikiano wa serikali ya Ufaransa na kundi la kigaidi la ISIS

    Apr 26, 2018 02:42

    Hivi karibuni kulisambaa ripoti kuhusu ushirikiano baina ya serikali ya Ufaransa na kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS (Daesh) ambapo mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Lafarge la kutengeneza seruji alisema: "Tuliitaarifu serikali ya Ufaransa kuhusu malipo ya fedha kwa magaidi wa ISIS".

  • Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawatatia tena mguu ndani ya ardhi yetu

    Iraq: Magaidi wa Daesh (ISIS) hawatatia tena mguu ndani ya ardhi yetu

    Apr 20, 2018 13:33

    Mshauri wa usalama wa taifa na mkuu wa harakati ya wananchi nchini Iraq amesema kuwa kinyume na zinvyoonesha baadhi ya propaganda, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), halitotia tena mguu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS