Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Iran: Tutapambana vilivyo na magaidi wote wanaohatarisha usalama wetu

    Iran: Tutapambana vilivyo na magaidi wote wanaohatarisha usalama wetu

    Nov 08, 2022 11:21

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), amewatembelea hospitalini maafisa wa polisi waliojeruhiwa katika machafuko ya hivi karibuni humu nchini na kusisisitiza kuwa Tehran itapambana vilivyo na magaidi wanaohatarisha usalama wa nchi.

  • DAESH (ISIS) wametumia asilimia 90 ya silaha za Marekani katika operesheni za kigaidi

    DAESH (ISIS) wametumia asilimia 90 ya silaha za Marekani katika operesheni za kigaidi

    Aug 15, 2022 10:37

    Mtaalamu mmoja wa masuala ya kiusalama amesema, asilimia 90 ya wahanga na waathirika wa ugaidi nchini Iraq hasa katika maeneo yaliyokombolewa wameuliwa kwa silaha za Marekani.

  • Magaidi 50 wa Daesh wahamishiwa Iraq kutoka nchini Syria

    Magaidi 50 wa Daesh wahamishiwa Iraq kutoka nchini Syria

    Aug 14, 2022 02:31

    Kitengo cha upashaji habari cha jeshi la Iraq kimetoa ripoti rasmi na kusema kuwa karibu wanachama 50 wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Dashe (ISIS) wamehamishiwa mkoani Nainawa (Nineveh) Iraq kutoka katika kambi ya al Hawl ya nchini Syria.

  • Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram

    Mapigano baina ya Taliban na ISIS nchini Afghanistan wakati huu wa Muharram

    Aug 07, 2022 08:08

    Serikali ya kundi la Taliban nchini Afghanistan imetangaza kuangamizwa magaidi wanne wa genge la ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika mapigano yaliyotokea kwenye eneo la Karte-Ye-Sakhi mjini Kabul.

  • Mshauri wa Rais wa Iran: Magaidi wa ISIS wametokana na fikra za Kimarekani

    Mshauri wa Rais wa Iran: Magaidi wa ISIS wametokana na fikra za Kimarekani

    Jul 04, 2022 04:04

    Mshauri wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kaumu na waliowachache kidini amesema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh limetokana na fikra za Kimarekani.

  • Kiongozi wa DAESH (ISIS) mwenye ushawishi mkubwa Burkina Faso aangamizwa na jeshi

    Kiongozi wa DAESH (ISIS) mwenye ushawishi mkubwa Burkina Faso aangamizwa na jeshi

    Jun 01, 2022 07:41

    Jeshi la Burkina Faso limetangaza kuwa limewaua magaidi kumi na wawili, akiwemo Tidiane Djbrilou Dicko, kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) katika eneo la Sahara Kuu.

  • Al Kadhimi: Njama za adui katika mwezi mtukufu wa Ramadhani zimegonga mwamba

    Al Kadhimi: Njama za adui katika mwezi mtukufu wa Ramadhani zimegonga mwamba

    May 03, 2022 04:44

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, njama za adui za kutaka kuibua machafuko na ukosefu wa usalama katika miji ya Iraq katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani zimesambaratishwa na kufeli.

  • Al Kadhimi: Wapiganaji wa Daesh hawana chaguo isipokuwa kifo

    Al Kadhimi: Wapiganaji wa Daesh hawana chaguo isipokuwa kifo

    Apr 23, 2022 11:29

    Waziri Mkuu wa Iraq amewambia magaidi wa Daesh (ISIS) kwamba wanasubiriwa na mashambulizi zaidi na mauaji ya kiongoi mpya wa kundi hilo.

  • Magaidi wanne wakufurishaji watiwa nguvuni mkoani al Anbar, Iraq

    Magaidi wanne wakufurishaji watiwa nguvuni mkoani al Anbar, Iraq

    Mar 05, 2022 02:55

    Vikosi vya usalama vya Iraq vimewatia nguvuni magaidi wanne wakufurishaji wa genge la Daesh (ISIS) katika operesheni waliyofanya katika mkoa wa al Anbar wa magharibi mwa nchi hiyo.

  • Mapinduzi ya Burkina Faso na mustakbali usiojulikana wa nchi hiyo

    Mapinduzi ya Burkina Faso na mustakbali usiojulikana wa nchi hiyo

    Jan 26, 2022 11:25

    Kundi la askari wa jeshi la Burkina Faso linalojiita Patriotic Movement for Safeguarding and Restoration chini ya uongozi wa Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba Jumatatu wiki hii lilijitokeza katika tevisheni ya taifa ya nchi hiyo likitangaza kusitishwa Katiba, kuivunja Serikali na Bunge na kumuondoa madarakani Rais wa nchi hiyo, Roch Marc Christian Kabore. Wanajeshi hao walisema kuwa Burkina Faso sasa iko chini ya mamlaka yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS