Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Kundi la kigaidi la DAESH linajiimarisha upya kijeshi nchini

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq: Kundi la kigaidi la DAESH linajiimarisha upya kijeshi nchini

    Sep 20, 2020 07:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq ametahadharisha kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) linajizatiti na kujiimarisha upya kijeshi ndani ya nchi hiyo.

  • Mufti wa kundi la kigaidi la Daesh atiwa mbaroni Kirkuk, Iraq

    Mufti wa kundi la kigaidi la Daesh atiwa mbaroni Kirkuk, Iraq

    Sep 10, 2020 01:15

    Vikosi vya usalama vya Iraq vimemtia mbaroni Mufti wa kundi la kigaidi na la ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Kirkuk kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Jinai za Daesh zaongezeka katika maeneo yanayodhibitiwa na Marekani na washirika wake, mpaka wa Iraq na Syria

    Jinai za Daesh zaongezeka katika maeneo yanayodhibitiwa na Marekani na washirika wake, mpaka wa Iraq na Syria

    Aug 04, 2020 06:48

    Kituo kinachojiita Wasimamizi wa Haki za Binadamu nchini Syria kimetangaza kuwa kumeshuhudiwa ongezeko la uhalifu na jinai za kundi la Daesh katika maeneo yanayodhibitiwa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani karibu na mpaka wa Syria na Iraq.

  • Rais wa Iraq asisitiza umuhimu wa kuhukumiwa waliohusika na kutekwa mji wa Mosul

    Rais wa Iraq asisitiza umuhimu wa kuhukumiwa waliohusika na kutekwa mji wa Mosul

    Aug 04, 2020 01:31

    Rais Barham Salih wa Iraq amesema kuwa maafisa waliowezesha mji wa Mosul utekwe na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh wanapaswa kufikishwa mahakamani na kuhukumiwa.

  • Amnesty International yatahadharisha kuhusu hali ya watoto waliokombolewa kutoka kwa kundi la Daesh nchini Iraq

    Amnesty International yatahadharisha kuhusu hali ya watoto waliokombolewa kutoka kwa kundi la Daesh nchini Iraq

    Jul 31, 2020 07:44

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa karibu watoto elfu mbili waliokombolewa kutoka kwa wapiganaji wa kindi la kigaidi la Daesh wanaendelea kusumbuliwa na matatizo ya kimwili na kinafsi.

  • Nukta nne muhimu katika matamshi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq kuhusu uvamizi wa ISIS nchini humo

    Nukta nne muhimu katika matamshi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq kuhusu uvamizi wa ISIS nchini humo

    Jul 04, 2020 02:37

    Nouri al Maliki, Waziri Mkuu wa zamani wa Iraq amefanyiwa mahojiano maalumu na mtandao wa habari wa al Maluma na amezungumzia nukta nne muhimu zaidi kuhusu uvamizi wa magaidi wa Daesh (ISIS) nchini Iraq wa mwaka 2014.

  • Ripoti ya kila mwaka ya Marekani kuhusu ugaidi; hila ya kujitia pambani ili kujivua na lawama

    Ripoti ya kila mwaka ya Marekani kuhusu ugaidi; hila ya kujitia pambani ili kujivua na lawama

    Jun 26, 2020 13:31

    Baada ya matukio ya Septemba 11, 2001, Marekani ilitumia kisingizio cha kupambana na ugaidi duniani ili kuzishambulia na kuzikalia kijeshi Afghanistan na Iraq.

  • Al Hashd al Shaabi: Oparesheni ya jeshi la Iraq itaendelea hadi kuangamizwa Daesh

    Al Hashd al Shaabi: Oparesheni ya jeshi la Iraq itaendelea hadi kuangamizwa Daesh

    Jun 23, 2020 02:30

    Kamanda wa oparesheni ya kikosi cha harakati ya al Hashd al Shaabi katika mkoa wa Diyala nchini Iraq amesema kuwa awamu ya tatu ya "Oparesheni ya Ushindi wa Mashujaa wa Iraq" itaendelea mashariki na kaskazini mwa nchi hadi mabaki yote ya kundi la kigaidi la Daesh yatakapoangamizwa kikamilifu.

  • Yahya Rasul: Iraq haihitaji askari wa kigeni kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Yahya Rasul: Iraq haihitaji askari wa kigeni kwa ajili ya kupambana na ugaidi

    Jun 03, 2020 07:28

    Msemaji wa kamandi kuu ya jeshi la Iraq amesema kuwa, nchi hiyo haihitai askari yeyote wa kigeni kwa ajili ya mapambano na mabaki ya ugaidi.

  • Mpasuko mkubwa waibuka ndani ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS)

    Mpasuko mkubwa waibuka ndani ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS)

    May 31, 2020 04:48

    Msemaji wa Jeshi la Iraq ameeleza kuwepo mpasuko mkubwa ndani ya safu ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) hasa baada ya kuuawa kiongozi wa genge hilo, Abubakar Al-Baghdad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS