-
Waziri Mkuu mpya Uturuki aahidi kuongezewa mamlaka rais
May 22, 2016 11:50Binali Yildirim, Waziri wa Uchukuzi wa Uturuki ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa chama tawala AKP sambamba na kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo kuchukua nafasi ya Ahmet Davutoğlu.
-
Waziri Mkuu wa Uturuki athibitisha kuacha uongozi wa chama tawala
May 06, 2016 03:31Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoğlu, ametangaza rasmi kuwa ataacha uongozi wa chama tawala cha Uadilifu na Ustawi (AKP) na hivyo kulazimika pia kuachia madaraka ya Uwaziri Mkuu.