-
Velayati: Iran ni kimbilio salama la Waislamu wote
Dec 27, 2016 11:42Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislami ni kimbilio na nchi salama zaidi kwa Waislamu wote.
-
Velayati: Syria imeimarika zaidi kuliko awali
May 07, 2016 00:16Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa Syria ya leo imeimarika zaidi kuliko hapo awali na kwamba uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Syria umekurubiana zaidi.
-
Hatima ya Syria iko mikononi mwa wananchi wake
Apr 27, 2016 23:22Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, wananchi wa Syria tu ndio wanaopaswa kuainisha mustakbali wa nchi yao na kwamba, hakuna mtu kutoka nje mwenye haki ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Velayati: Iran mbeba bendera ya Uislamu duniani
Feb 16, 2016 04:48Dakta Ali Akbar Velayati, Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiye mbeba bendera wa Uislamu na Waislamu duniani.