• WHO: Tunatazamia Guinea itangaze mwisho wa mripuko wa Ebola

    WHO: Tunatazamia Guinea itangaze mwisho wa mripuko wa Ebola

    Jun 19, 2021 12:34

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema anatarajia kuwa serikali ya Guinea itatangaza leo Jumamosi habari ya kudhibitiwa mripuko wa hivi sasa wa ugonjwa wa Ebola nchini humo.

  • Hofu yatanda Guinea kufuatia kuenea uvumi wa wagonjwa wa Ebola kunyofolewa viungo

    Hofu yatanda Guinea kufuatia kuenea uvumi wa wagonjwa wa Ebola kunyofolewa viungo

    May 15, 2021 04:28

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limezindua mpango wa pamoja wa mawasiliano na serikali ya Guinea kwa lengo la kukabili kusambaa kwa habari potofu dhidi ya ugonjwa wa Ebola, ikiwemo uvumi kwamba miili ya watu wanaofariki dunia kutokana na ugonjwa huo inatolewa viungo vyao kwa ajili ya biashara.

  • DRC yadhibiti mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola

    DRC yadhibiti mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola

    May 04, 2021 01:33

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kudhibitiwa mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, miezi mitatu baada ya kesi ya kwanza kuripotiwa katika mkoa wa Kivu Kaskazini.

  • Afrika CDC: Ebola imeua watu 13 Kongo DR na Guinea

    Afrika CDC: Ebola imeua watu 13 Kongo DR na Guinea

    Mar 07, 2021 07:35

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika CDC kimesema idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Guinea imeongezeka na kufikia watu 13.

  • WHO  yaanza kutoa chanjo ya Ebola DRC

    WHO yaanza kutoa chanjo ya Ebola DRC

    Feb 20, 2021 03:10

    Shirika la Afya Duniani WHO limeanza zoezi la kutoa chanjo ya Ebola ili kukabiliana na mlipuko mpya wa ugonjwa huo nchini Guinea na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

  • Waliofariki kutokana na Ebola Guinea wafika 15

    Waliofariki kutokana na Ebola Guinea wafika 15

    Feb 17, 2021 02:27

    Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Ebola nchini Guinea sasa imeongezeka na kufikia watu watano huku waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa huo hatai wakiwa ni 15.

  • Mripuko mpya wa Ebola waripotiwa Guinea, watu 4 wapoteza maisha

    Mripuko mpya wa Ebola waripotiwa Guinea, watu 4 wapoteza maisha

    Feb 14, 2021 07:55

    Watu wanne wameripotiwa kuaga dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola katika eneo la Nzerekore, kusini mashariki mwa Guinea.

  • Kesi ya tatu ya Ebola yathibitishwa DRC huku watu 200 wakifuatiliwa

    Kesi ya tatu ya Ebola yathibitishwa DRC huku watu 200 wakifuatiliwa

    Feb 13, 2021 08:46

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kesi ya tatu ya ugonjwa wa Ebola katika mji wa Butembo jimboni Kivu Kaskazini, eneo ambalo lilikuwa kitovu cha mlipuko wa 10 wa ugonjwa huo uliotangazwa kumalizika mwezi Juni mwaka jana.

  • Ebola yarejea DRC, mgonjwa apoteza maisha

    Ebola yarejea DRC, mgonjwa apoteza maisha

    Feb 08, 2021 07:46

    Wizara ya afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, imetangaza kupatikana kwa mgonjwa mpya wa Ebola kwenye mji wa Butembo jimboni Kivu Kaskazini, eneo ambalo lilikuwa kitovu cha mlipuko wa 10 wa ugonjwa huo uliotangazwa kumalizika mwezi Juni mwaka jana.

  • Kongo DR yatangaza kumalizika janga la Ebola nchini humo

    Kongo DR yatangaza kumalizika janga la Ebola nchini humo

    Nov 18, 2020 11:58

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kudhibitiwa mlipuko wa 11 wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, ambao umesababisha vifo vya watu 55 tangu mwezi Juni mwaka huu hadi sasa.