Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Ebola yarejea DRC, mgonjwa apoteza maisha

    Ebola yarejea DRC, mgonjwa apoteza maisha

    Feb 08, 2021 07:46

    Wizara ya afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, imetangaza kupatikana kwa mgonjwa mpya wa Ebola kwenye mji wa Butembo jimboni Kivu Kaskazini, eneo ambalo lilikuwa kitovu cha mlipuko wa 10 wa ugonjwa huo uliotangazwa kumalizika mwezi Juni mwaka jana.

  • Kongo DR yatangaza kumalizika janga la Ebola nchini humo

    Kongo DR yatangaza kumalizika janga la Ebola nchini humo

    Nov 18, 2020 11:58

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kudhibitiwa mlipuko wa 11 wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, ambao umesababisha vifo vya watu 55 tangu mwezi Juni mwaka huu hadi sasa.

  • Mlipuko mpya wa Ebola waua watu 11 Kongo DR

    Mlipuko mpya wa Ebola waua watu 11 Kongo DR

    Jun 15, 2020 15:42

    Huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikiendelea kukabiliana na janga la sasa la virusi vya corona, mlipuko mpya wa virusi vya Ebola umeripotiwa katika mkoa wa magharibi mwa nchi wa Equateur.

  • Ugonjwa wa Ebola waripotiwa tena kaskazini magharibi mwa Congo DR

    Ugonjwa wa Ebola waripotiwa tena kaskazini magharibi mwa Congo DR

    Jun 02, 2020 02:29

    Maafisa wa afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza kuwa, maambukizi ya ugonjwa wa Ebola yamerejea tena nchini humo.

  • Kesi nyingine mpya ya Ebola yaripotiwa DRC kabla ya siku chache za kutangazwa kumalizika kwake

    Kesi nyingine mpya ya Ebola yaripotiwa DRC kabla ya siku chache za kutangazwa kumalizika kwake

    Apr 11, 2020 06:54

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza habari ya kuthibitishwa kesi nyingine moja ya ugonjwa wa Ebola huko Jamhhuri ya Kidemokrasia ya Congo zikiwa zimesalia siku chache tu kabla ya kutangazwa rasmi kumalizika kabisa ugonjwa huo nchini humo.

  • Mgonjwa wa mwisho Ebola arejea nyumbani DRC

    Mgonjwa wa mwisho Ebola arejea nyumbani DRC

    Mar 05, 2020 11:21

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa mgonjwa wa mwisho wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ameruhisiwa kurejea nyumbani baada ya kupatiwa matibabu katika kituo cha matibabu huko kaskazini mashariki mwa mji wa Beni.

  • WHO: Tusisahau Ebola wakati tunashughulikia Corona

    WHO: Tusisahau Ebola wakati tunashughulikia Corona

    Feb 13, 2020 11:52

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema dunia ni lazima iendelee kufadhili vita dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola kwani kuzembea katika hilo kutaleta madhara makubwa.

  • Maambukizi ya ebola yaongezeka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Maambukizi ya ebola yaongezeka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Dec 13, 2019 08:04

    Maafisa wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema, maambukizi ya ugonjwa hatari wa ebola yameongezeka katika maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo.

  • WHO: Mapigano yanakwamisha mapambano dhidi ya Ebola Kongo DR

    WHO: Mapigano yanakwamisha mapambano dhidi ya Ebola Kongo DR

    Nov 22, 2019 13:31

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa, vita na mapigano huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yanakwamisha jitihada za kutokomeza ugonjwa hatari wa Ebola ambao umeua maelfu ya watu kufikia sasa.

  • Congo yaanza kutoa chanjo mpya ya Ebola katika mji wa Goma

    Congo yaanza kutoa chanjo mpya ya Ebola katika mji wa Goma

    Nov 15, 2019 01:25

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mpaka (MSF) imetangaza kuwa maafisa wa afya wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameanza kutoa chanjo mpya ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola iliyotengenezwa na kampuni ya Johnson & Johnson.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS