-
Afrika CDC: Mripuko wa Ebola Uganda unaweza kudhibitiwa
Oct 21, 2022 00:43Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema kuna hatari ya mripuko wa Ebola unaoshuhudiwa nchini Uganda kusambaa katika nchi nyingine, lakini msambao huo unaweza kudhibitiwa hivi sasa.
-
Idadi ya wahanga wa Ebola yazidi kuongezeka Uganda
Oct 19, 2022 04:33Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza kuhusu kuongezeka idadi ya watu wanaoga dunia kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.
-
Uganda yafunga wilaya 2 ili kudhibiti msambao wa Ebola
Oct 16, 2022 07:49Serikali ya Uganda imetangaza habari ya kuziweka wilaya mbili za nchi hiyo katika karantini, kwa lengo la kudhibiti mripuko wa virusi vya Ebola unaoshuhudia katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwa wiki kadhaa sasa.
-
Daktari Mtanzania aaga dunia kwa Ebola nchini Uganda
Oct 01, 2022 08:44Daktari mmoja raia wa Tanzania aliyekuwa akifanya kazi nchini Uganda ameaga dunia kutoka na ugonjwa wa Ebola.
-
DRC yatangaza kumalizika mripuko wa sasa wa Ebola
Sep 28, 2022 04:39Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kutokomezwa ugonjwa wa Ebola mashariki mwa nchi.
-
DRC yafanya kampeni ya chanjo baada ya Ebola kuripotiwa Beni
Aug 25, 2022 07:34Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Alkhamisi imezindua kampeni ya kutoa chanjo katika mji Beni, mashariki mwa nchi, baada ya kesi ya virusi hivyo kuthibitishwa katika mji huo.
-
WHO: Mripuko wa 14 wa Ebola katika jimbo la Equateur, DRC umetokomezwa
Jul 05, 2022 22:03Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa, mripuko wa Ebola uliotangazwa tarehe 23 mwezi Aprili mwaka huu huko Mbandaka, mji mkuu wa jimbo la Equateur katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umetokomezwa.
-
Ivory Coast yarekodi kisa cha kwanza cha Ebola katika miaka 25
Aug 15, 2021 08:58Waziri wa Afya wa Ivory Coast ametangaza kuwa nchi hiyo imesajili kisa cha kwanza cha virusi vya kutokwa na damu vya Ebola ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 25.
-
WHO: Tunatazamia Guinea itangaze mwisho wa mripuko wa Ebola
Jun 19, 2021 08:04Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema anatarajia kuwa serikali ya Guinea itatangaza leo Jumamosi habari ya kudhibitiwa mripuko wa hivi sasa wa ugonjwa wa Ebola nchini humo.
-
Hofu yatanda Guinea kufuatia kuenea uvumi wa wagonjwa wa Ebola kunyofolewa viungo
May 14, 2021 23:58Shirika la Afya Duniani (WHO) limezindua mpango wa pamoja wa mawasiliano na serikali ya Guinea kwa lengo la kukabili kusambaa kwa habari potofu dhidi ya ugonjwa wa Ebola, ikiwemo uvumi kwamba miili ya watu wanaofariki dunia kutokana na ugonjwa huo inatolewa viungo vyao kwa ajili ya biashara.