Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

el sisi

  • Kubadilika misimamo ya Misri kuhusu migogoro ya Mashariki ya Kati

    Kubadilika misimamo ya Misri kuhusu migogoro ya Mashariki ya Kati

    Nov 24, 2016 07:11

    Rais wa Jamhuri ya Misri ametangaza kuwa, nchi yake inayaunga mkono majeshi ya serikali za Syria na Iraq katika mapambano yao dhidi ya ugaidi.

  • Misri yaunga mkono mapambano ya serikali za  Syria, Iraq dhidi ya magaidi

    Misri yaunga mkono mapambano ya serikali za Syria, Iraq dhidi ya magaidi

    Nov 23, 2016 14:05

    Rais wa Misri ametangaza kuwa, nchi yake inaunga mkono majeshi ya nchi za Iraq na Syria katika mapambano yao dhidi ya ugaidi.

  • Kukandamizwa waandishi wa habari nchini Misri

    Kukandamizwa waandishi wa habari nchini Misri

    Nov 20, 2016 12:44

    Habari kutoka nchini Misi zinaonesha kuendelea kukandamizwa waandishi wa habari na serikali ya Rais Abdul Fattah el Sisi wa nchi hiyo na kuzidi kubanwa tasnia ya uandishi wa habari katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. Hatua ya karibuni kabisa ni kitendo cha mahakama moja ya Misri cha kuwafunga jela miaka miwili mkuu wa chama cha waandishi wa habari na wanachama wawili wa chama hicho.

  • Watetezi wa haki za binadamu wana wasiwasi kuhusu mpango mpya wa bunge la Misri

    Watetezi wa haki za binadamu wana wasiwasi kuhusu mpango mpya wa bunge la Misri

    Nov 16, 2016 14:12

    Bunge la Misri limepasisha mswada kwa ajili ya kubana shughuli za taasisi zisizo za kiserikali nchini humo.

  • Misri yalaani matamshi ya Erdogan kuhusu al Sisi

    Misri yalaani matamshi ya Erdogan kuhusu al Sisi

    Nov 11, 2016 15:29

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imelaani matamshi yaliyotolewa na Rais wa Uturuki kuhusiana na Rais Abdul Fattah al Sisi wa Misri na kuyataja kuwa ni mwendelezo wa hatua za kindumakuwili za serikali ya Ankara.

  • Jeshi la Misri lawekwa tayari kukabiliana na maandamano ya wananchi

    Jeshi la Misri lawekwa tayari kukabiliana na maandamano ya wananchi

    Nov 11, 2016 15:04

    Askari usalama wa Misri wamewekwa katika hali ya tahadhari kwa ajili ya kukabiliana na maandamano ya wananchi yaliyokuwa yamepangwa kufanyika leo kote nchini humo.

  • Al Sisi: Jeshi la Misri lina nguvu

    Al Sisi: Jeshi la Misri lina nguvu

    Sep 27, 2016 02:51

    Rais wa Misri ameashiria kuwa tayari vikosi vya jeshi la nchi hiyo na kudai kuwa iwapo italazimu vikosi hivyo vya Misri vitasambazwa katika maeneo yote ya nchi hiyo katika muda wa masaa sita tu.

  • Rais al Sisi atetea kuongezwa bajeti ya jeshi Misri

    Rais al Sisi atetea kuongezwa bajeti ya jeshi Misri

    Aug 08, 2016 02:48

    Rais Abdel Fattah al Sisi wa Misri ametetea kuongezwa bajeti ya vikosi vya jeshi la nchi hiyo.

  • Polisi ya Misri wahujumu chama cha waandishi habari

    Polisi ya Misri wahujumu chama cha waandishi habari

    May 02, 2016 16:53

    Polisi nchini Misri wamevamia idara ya waandishi habari mjini Cairo na kuwatia mbaroni waandishi habari wawili wanaotuhumiwa kuchochea maandamano dhidi ya serikali.

  • Mtawala wa Misri El Sisi aendelea kukiuka haki za binadamu

    Mtawala wa Misri El Sisi aendelea kukiuka haki za binadamu

    Apr 28, 2016 07:49

    Rais Abdel Fatah el Sisi nchini Misri ameendelea kukiuka haki za binaadamu huku akikosolewa kitaifa na kimataifa kutokana na kuendelea kuzorota hali ya mambo nchini humo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS