Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Erdogan

  • Katz amtusi vikali Erdogan baada ya mahakama ya Uturuki kutoa hati za kukamatwa viongozi 37 wa Israel

    Katz amtusi vikali Erdogan baada ya mahakama ya Uturuki kutoa hati za kukamatwa viongozi 37 wa Israel

    Nov 10, 2025 06:17

    Waziri wa vita wa utawala wa kizayuni wa Israel, Yisrael Katz amemshambulia kwa matusi makali Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan baada ya mahakama ya nchi hiyo kutoa hati za kukamatwa viongozi 37 wa utawala huo ghasibu kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Duru za Uturuki: Erdogan amefanya mazungumzo ya siri Istanbul na mwana wa kiume wa Trump

    Duru za Uturuki: Erdogan amefanya mazungumzo ya siri Istanbul na mwana wa kiume wa Trump

    Sep 19, 2025 11:07

    Mwana mkubwa wa kiume wa Rais Donald Trump wa Marekani na ujumbe alioandamana nao wiki iliyopita walikutana na Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan mjini Istanbul wiki katika ziara ambayo haikutangazwa. Hayo yameripotiwa na duru zilizodai kuwa na uelewa wa suala hilo.

  • Baada ya jela zake kujaa, Uingereza inafikiria kuwahamishia wafungwa wake Estonia

    Baada ya jela zake kujaa, Uingereza inafikiria kuwahamishia wafungwa wake Estonia

    Sep 07, 2024 10:59

    Gazeti la Telegraph limeripoti kuwa, Serikali ya Uingereza inafikiria kukodi nafasi katika magereza ya Estonia kutokana na jela zake kufurika wafungwa.

  • Rais Erdogan wa Uturuki: Hakuna tofauti kati ya Hitler na Netanyahu

    Rais Erdogan wa Uturuki: Hakuna tofauti kati ya Hitler na Netanyahu

    Dec 28, 2023 06:45

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, "hakuna tofauti" kati ya kile waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu anakifanya katika mashambulizi ya miezi kadhaa sasa huko Gaza na kile kiongozi wa Nazi Adolf Hitler alikifanya miongo kadhaa iliyopita.

  • Erdogan: Uhusiano wangu na Putin ni wa

    Erdogan: Uhusiano wangu na Putin ni wa "ukweli na kuaminiana"; Macron "si mkweli"

    Jan 31, 2023 11:26

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema, uhusiano wake na Rais Vladimir Putin wa Russia na kwa ujumla kati ya nchi hizo mbili ni wa "ukweli na wenye msingi wa kuaminiana" na akamtaja Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuwa "si mtu mkweli".

  • Erdogan: Borrell hana mamlaka ya kuzungumzia uhusiano wa Uturuki na Russia

    Erdogan: Borrell hana mamlaka ya kuzungumzia uhusiano wa Uturuki na Russia

    Dec 16, 2022 09:29

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema: Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya hana mamlaka ya kuzungumzia uhusiano wa Uturuki na nchi zingine ikiwemo Russia.

  • Mafanikio ya mkutano wa Tehran katika matamshi ya Erdoğan

    Mafanikio ya mkutano wa Tehran katika matamshi ya Erdoğan

    Jul 22, 2022 02:32

    Kama ilivyotazamiwa, Mkutano wa 7 wa "Dhamana ya Mchakato wa Astana" uliofanyika majuzi mjini Tehran umekuwa na mafanikio makubwa kuhusu masuala yanayohusiana na serikali halali ya Rais Bashar al-Assad wa Syria na watu wa nchi hiyo.

  • Rais wa Iran akutana na Putin na Erdogan na kujadili vita dhidi ya ugaidi

    Rais wa Iran akutana na Putin na Erdogan na kujadili vita dhidi ya ugaidi

    Jul 19, 2022 15:22

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano katika vita dhidi ya ugaidi umepelekea kuimarika usalama katika eneo la Asia Magharibi.

  • Safari ya Uturuki; Urafiki wa kimbinu kati ya Erdogan na Bin Salman

    Safari ya Uturuki; Urafiki wa kimbinu kati ya Erdogan na Bin Salman

    Jun 25, 2022 03:04

    Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman amefanya safari mjini Ankara na kukaribishwa rasmi na Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan.

  • Safari tarajiwa ya rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Uturuki

    Safari tarajiwa ya rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Uturuki

    Jan 20, 2022 09:35

    Baadhi ya matukio ya miaka ya hivi karibuni yanaonyesha kuwepo mkakati maalumu wa kuanzishwa tena uhusiano wa karibu baina ya Uturuki na utawala wa kibaguzi wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS