Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu UN yasisitiza tena: Ni marufuku kuwalazimisha watu wa Gaza kuhama nchi yao

    Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu UN yasisitiza tena: Ni marufuku kuwalazimisha watu wa Gaza kuhama nchi yao

    Jan 05, 2024 03:26

    Kamishna Mkuu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amepinga matamshi yaliyotolewa na viongozi wa serikali ya Israel kuhusu suala la kuwahamisha watu wa Ukanda wa Gaza na kuwapeleka katika nchi zingine.

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa kuwa kuhamishwa kwa nguvu wakazi wa Gaza ni sawa na mauaji ya halaiki

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa kuwa kuhamishwa kwa nguvu wakazi wa Gaza ni sawa na mauaji ya halaiki

    Jan 04, 2024 08:00

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano alisema kuwa kuhamishwa kwa nguvu na kufukuzwa watu wa Gaza ni "mauaji ya halaiki" na kuzionya nchi zisishiriki katika hatua hiyo ya kijinai.

  • Umoja wa Mataifa: Kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Gaza ni sawa na mauaji ya kizazi

    Umoja wa Mataifa: Kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Gaza ni sawa na mauaji ya kizazi

    Jan 04, 2024 07:41

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unapinga kile kinachoonekana kama mpango wa kutaka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, hatua haina tofauti na mauaji ya kimbari.

  • Kususiwa Biden na Waislamu wa Marekani katika uchaguzi wa mwaka huu (2024)

    Kususiwa Biden na Waislamu wa Marekani katika uchaguzi wa mwaka huu (2024)

    Jan 02, 2024 04:55

    Huku Rais Joe Biden wa Marekani akiendelea kuunga mkono jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni katika vita vya Gaza, Waislamu wa Marekani wameanzisha kampeni dhidi ya Trump katika majimbo kadhaa muhimu kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu wa 2024.

  • Vituo vya matibabu ya akili vyataka kutangazwa hali ya hatari Israel

    Vituo vya matibabu ya akili vyataka kutangazwa hali ya hatari Israel

    Jan 01, 2024 23:19

    Gazeti moja la utawala wa Kizayuni limefichua kuwa, tangu ilipoanza operesheni ya #Kimbunga_cha_al-Aqsa hadi hivi sasa, zaidi ya wakazi laki tatu wa utawala wa Kizayuni wameingia kwenye orodha ya watu wenye matatizo ya akili na saikolojia huko Israel.

  • Hatua mpya ya serikali ya  Biden ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Hatua mpya ya serikali ya Biden ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Dec 30, 2023 07:42

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kupitia taarifa kuwa imetumia mamlaka iliyopewa kisheria kuuzia utawala wa haramu wa Israel shehena ya silaha bila idhini ya wabunge wa Kongresi ya nchi hiyo.

  • Marais wa Iran na Misri wahimiza kustawishwa uhusino wa nchi mbili katika nyuga zote

    Marais wa Iran na Misri wahimiza kustawishwa uhusino wa nchi mbili katika nyuga zote

    Dec 23, 2023 23:08

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa simu na rais mwenzake wa Misri na kutilia mkazo udharura wa kustawishwa uhusiano wa nchi hizi mbili katika nyuga tofauti.

  • Wanasiasa wataka kufunguliwa mashitaka Wafaransa waliojiunga na jeshi la Israel kuua raia Gaza

    Wanasiasa wataka kufunguliwa mashitaka Wafaransa waliojiunga na jeshi la Israel kuua raia Gaza

    Dec 23, 2023 08:29

    Katika kashfa mpya ambayo inaendelea kutikisa misingi ya jamii ya Ufaransa na sambamba misimamo ya inayobadilika badilika ya serikali ya Paris kuhusu mashambulizi ya Israel Ukanda wa Gaza, mbunge Thomas Portes wa chama cha "Fahari ya Ufaransa" amefichua uwepo wa Wafaransa 4,185 katika safu za jeshi la Israel linaloendelea kuua raia wa Palestina hususan wanawake na watoto wa Gaza.

  • WFP yatahadharisha kuhusu mgogoro wa njaa Ukanda wa Gaza

    WFP yatahadharisha kuhusu mgogoro wa njaa Ukanda wa Gaza

    Dec 22, 2023 04:46

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetahadharisha kuwa Ukanda wa Gaza utakumbwa na mgogoro wa njaa iwapo vita vitaendelea katika eneo hilo.

  • Onyo la Macron kuhusu kuharibiwa Gaza na Wazayuni

    Onyo la Macron kuhusu kuharibiwa Gaza na Wazayuni

    Dec 21, 2023 22:59

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kuangamizwa Ukanda wa Gaza kwa mashambulizi kipofu ya utawala haramu wa Israel huku mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina yakiendelezwa na utawala huo katili katika ukanda huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS