-
UN: Mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa
Aug 01, 2021 05:18Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa huko Palestina amesema kuwa nzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa.
-
Hamas: Israel imeshambulia tena Ghaza ili kunyanyua mori wa wanajeshi wake
Jun 18, 2021 08:01Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, shambulio la jana la ndege za utawala wa Kizayuni dhidi ya kambi za muqawama katika Ukanda wa Ghaza ni chokochoko mpya za Israel zilizolenga kunyanyua mori wa wanajeshi wake waliopata kipigo katika mapigano ya hivi karibuni ya siku 12 ya Ukanda wa Ghaza maarufu kwa jina la vita vya "Upanga wa Quds."
-
Hamas: Mashambulizi dhidi ya Ghaza ni jaribio lililofeli la kuzuia muqawama wa wakazi wa Quds
Jun 16, 2021 03:19Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Ghaza lilikuwa jaribio lililofeli kwa lengo la kuzuia mapambano ya wananchi wa Palestina katika mji wa Quds.
-
Wanahabari wa Afrika wataka Israel iwajibishwe kwa shambulio la Gaza
Jun 15, 2021 22:04Waandishi wa habari wa Afrika wameutaka Umoja wa Afrika (AU) ulaani mienendo ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwashambulia wanahabari wa Palestina, sanjari na kuubebesha dhima kisheria utawala huo kwa jinai zake dhidi ya wanahabari.
-
Viongozi wa Marekani waendelea na madai yao ya kuijenga upya Ghaza
Jun 05, 2021 07:21Mwakilishi wa kudumu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ameendeleza madai ya viongozi wa nchi hiyo kuhusu kuujenga upya Ukanda wa Ghaza. Amedai kuwa Washington inafanya juhudi za kukusanya misaada ya kimataifa ya kuujenga upya ukanda huo.
-
Utawala wa Kizayuni unazuia kuingizwa misaada ya kibinadamu huko Ghaza
Jun 01, 2021 06:05Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni ametishia kushadidisha zaidi mashambulizi huko Ukanda wa Ghaza iwapo eti muqawama utaendeleza mashambulizi yake na kueleza kuwa, kuingizwa misaada ya aina yoyote huko Ghaza kunategemea na kurejeshwa miili ya wanajeshi waliouliwa wa Israel katika eneo hilo.
-
Baada ya kudhalilishwa Gaza, Israel sasa yaitishia vita Lebanon
May 27, 2021 03:20Baada ya kudhalilishwa na kushindwa vibaya na kambi ya muqawama katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, utawala wa Kizayuni wa Israel sasa unatishia kuishambulia kijeshi Lebanon.
-
Hasara za kiuchumi zilizosababishwa na vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza
May 22, 2021 22:20Vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza vimemalizika baada ya kusababisha hasara kubwa za kiuchumi hususan kwa utawala wa Kizayuni wa Israel wenyewe.
-
Waandishi habari 170 walijeruhiwa katika vita ya Israel dhidi ya Gaza
May 22, 2021 22:20Mwenyekiiti wa Jumuiya ya Waandiihi Habari huko Palestina amesema kuwa waandishi wa habari wanaokaribia 170 walijeruhiwa katika mashambulizi ya karibuni ya Israel na kwamba jumuiya hiyo itawasilisha mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuhusiana na suala hilo.
-
Palestina kuushitaki utawala wa Kizayuni katika mahakama ya ICC
May 21, 2021 07:44Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani wa Palestina amesema kuwa, mamlaka hiyo itaishitaki Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, kwa jinai zake za kuua watoto wadogo na wanawake wa Wapalestina wasio na hatia.