Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • UN: Mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa

    UN: Mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa

    Aug 01, 2021 05:18

    Ripota Maalumu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa huko Palestina amesema kuwa nzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza unakiuka sheria za kimataifa.

  • Hamas: Israel imeshambulia tena Ghaza ili kunyanyua mori wa wanajeshi wake

    Hamas: Israel imeshambulia tena Ghaza ili kunyanyua mori wa wanajeshi wake

    Jun 18, 2021 08:01

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, shambulio la jana la ndege za utawala wa Kizayuni dhidi ya kambi za muqawama katika Ukanda wa Ghaza ni chokochoko mpya za Israel zilizolenga kunyanyua mori wa wanajeshi wake waliopata kipigo katika mapigano ya hivi karibuni ya siku 12 ya Ukanda wa Ghaza maarufu kwa jina la vita vya "Upanga wa Quds."

  • Hamas: Mashambulizi dhidi ya Ghaza ni jaribio lililofeli la kuzuia muqawama wa wakazi wa Quds

    Hamas: Mashambulizi dhidi ya Ghaza ni jaribio lililofeli la kuzuia muqawama wa wakazi wa Quds

    Jun 16, 2021 03:19

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Ghaza lilikuwa jaribio lililofeli kwa lengo la kuzuia mapambano ya wananchi wa Palestina katika mji wa Quds.

  • Wanahabari wa Afrika wataka Israel iwajibishwe kwa shambulio la Gaza

    Wanahabari wa Afrika wataka Israel iwajibishwe kwa shambulio la Gaza

    Jun 15, 2021 22:04

    Waandishi wa habari wa Afrika wameutaka Umoja wa Afrika (AU) ulaani mienendo ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwashambulia wanahabari wa Palestina, sanjari na kuubebesha dhima kisheria utawala huo kwa jinai zake dhidi ya wanahabari.

  • Viongozi wa Marekani waendelea na madai yao ya kuijenga upya Ghaza

    Viongozi wa Marekani waendelea na madai yao ya kuijenga upya Ghaza

    Jun 05, 2021 07:21

    Mwakilishi wa kudumu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ameendeleza madai ya viongozi wa nchi hiyo kuhusu kuujenga upya Ukanda wa Ghaza. Amedai kuwa Washington inafanya juhudi za kukusanya misaada ya kimataifa ya kuujenga upya ukanda huo.

  • Utawala wa Kizayuni unazuia kuingizwa misaada ya kibinadamu huko Ghaza

    Utawala wa Kizayuni unazuia kuingizwa misaada ya kibinadamu huko Ghaza

    Jun 01, 2021 06:05

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni ametishia kushadidisha zaidi mashambulizi huko Ukanda wa Ghaza iwapo eti muqawama utaendeleza mashambulizi yake na kueleza kuwa, kuingizwa misaada ya aina yoyote huko Ghaza kunategemea na kurejeshwa miili ya wanajeshi waliouliwa wa Israel katika eneo hilo.

  • Baada ya kudhalilishwa Gaza, Israel sasa yaitishia vita Lebanon

    Baada ya kudhalilishwa Gaza, Israel sasa yaitishia vita Lebanon

    May 27, 2021 03:20

    Baada ya kudhalilishwa na kushindwa vibaya na kambi ya muqawama katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, utawala wa Kizayuni wa Israel sasa unatishia kuishambulia kijeshi Lebanon.

  • Hasara za kiuchumi zilizosababishwa na vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza

    Hasara za kiuchumi zilizosababishwa na vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza

    May 22, 2021 22:20

    Vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza vimemalizika baada ya kusababisha hasara kubwa za kiuchumi hususan kwa utawala wa Kizayuni wa Israel wenyewe.

  • Waandishi habari 170 walijeruhiwa katika vita ya Israel dhidi ya Gaza

    Waandishi habari 170 walijeruhiwa katika vita ya Israel dhidi ya Gaza

    May 22, 2021 22:20

    Mwenyekiiti wa Jumuiya ya Waandiihi Habari huko Palestina amesema kuwa waandishi wa habari wanaokaribia 170 walijeruhiwa katika mashambulizi ya karibuni ya Israel na kwamba jumuiya hiyo itawasilisha mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuhusiana na suala hilo.

  • Palestina kuushitaki utawala wa Kizayuni katika mahakama ya ICC

    Palestina kuushitaki utawala wa Kizayuni katika mahakama ya ICC

    May 21, 2021 07:44

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani wa Palestina amesema kuwa, mamlaka hiyo itaishitaki Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, kwa jinai zake za kuua watoto wadogo na wanawake wa Wapalestina wasio na hatia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS