Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Maelfu waandamana mjini New York kupinga sera ya njaa huko Gaza

    Maelfu waandamana mjini New York kupinga sera ya njaa huko Gaza

    Aug 17, 2025 11:24

    Maelfu ya wananchi wa Marekani wameshiriki maandamano huko mjini New York kutaka kukomeshwa utumiaji wa njaa kwa makusudi dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, sambamba na kuchukuliwa hatua za haraka za kimataifa za kukomesha mauaji ya halaiki katika eneo hilo.

  • Je, nchi za Amerika ya Kusini zimepokea vipi mpango wa Israel wa kukalia kwa mabavu Gaza?

    Je, nchi za Amerika ya Kusini zimepokea vipi mpango wa Israel wa kukalia kwa mabavu Gaza?

    Aug 16, 2025 02:17

    Nchi nyingi za Amerika ya Kusini zimekuwa na misimamo ya kukosoa waziwazi mpango wa utawala wa Kizayuni wa kuikalia kijeshi Gaza. Bila shaka, baadhi ya nchi, kama vile Argentina, zimechukua msimamo tofauti wa kuiunga mkono Tel Aviv.

  • Mamilioni ya Waislamu waadhimisha Arubaini ya Imam Hussein AS katika mji mtakatifu wa Karbala

    Mamilioni ya Waislamu waadhimisha Arubaini ya Imam Hussein AS katika mji mtakatifu wa Karbala

    Aug 14, 2025 14:22

    Mamilioni ya Waislamu kutoka pembe mbalimbali za dunia wamekusanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kuadhimisha Arubaini ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (AS), Imam wa tatu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia na mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW).

  • Wanajeshi wa Somalia waliokula njama na Al Shabab ya kumuua kamanda wa kikosi chao wanyongwa

    Wanajeshi wa Somalia waliokula njama na Al Shabab ya kumuua kamanda wa kikosi chao wanyongwa

    Aug 12, 2025 06:57

    Wanajeshi wawili wa Somalia waliohukumiwa adhabu ya kifo kwa kula njama na kundi la kigaidi la Al Shabab ya kumuua kamanda wa kikosi chao walitekelezewa hukumu yao jana Jumatatu. Hayo ni kwa mujibu wa Mwendesha Mashtaka wa mahakama ya kijeshi ya nchi hiyo.

  • Jamii ya Wangazija yapiganiwa itambuliwe rasmi nchini Kenya

    Jamii ya Wangazija yapiganiwa itambuliwe rasmi nchini Kenya

    Aug 08, 2025 11:39

    Seneta wa Kaunti ya Mombasa iliyoko eneo la pwani ya Kenya ametoa wito wa kutaka suala la jamii ya Wangazija kutatuliwa na kupewa haki kama watu wengine nchini humo.

  • HAMAS yamsuta Witkoff, yasema haitaweka chini silaha mpaka iundwe nchi huru ya Palestina

    HAMAS yamsuta Witkoff, yasema haitaweka chini silaha mpaka iundwe nchi huru ya Palestina

    Aug 03, 2025 05:42

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekanusha madai yaliyotolewa na mjumbe wa Marekani Mashariki ya Kati Steve Witkoff kwamba ilionyesha nia ya kuwa tayari kukabidhi silaha zake wakati wa mazungumzo ya kusitisha mapigano Ghaza kati yake na Israel, ikisisitiza kwamba ina haki ya "kitaifa na kisheria" kukabiliana na uvamizi wa utawala huo wa kizayuni katika ardhi ya Palestina.

  • Wapalestina 1373 wauawa shahidi wakisubiri msaada wa chakula Gaza

    Wapalestina 1373 wauawa shahidi wakisubiri msaada wa chakula Gaza

    Aug 03, 2025 02:37

    Ofisi ya Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa: Tokea tarehe 27 Mei mwaka huu hadi sasa Wapalestina 1373 wameuliwa shahidi katika Ukanda wa Gaza wakati walipokuwa wakisubiri kugawiwa msaada wa chakula. Waliuliwa shahidi kwa kufyatiliwa risasi na wanajeshi wa Kizayuni.

  • Uholanzi yawazuia kuingia nchini Ben-Gvir na Smotrich kwa kuchochea machafuko na maangamizi ya kizazi Ghaza

    Uholanzi yawazuia kuingia nchini Ben-Gvir na Smotrich kwa kuchochea machafuko na maangamizi ya kizazi Ghaza

    Jul 30, 2025 02:54

    Uholanzi imewataja mawaziri wa Israeli Itamar Ben-Gvir na Bezalel Smotrich kuwa watu wasiokubalika na hivyo imewapiga marufuku kuingia nchini humo kutokana na vitendo vyao vya kuwachochea walowezi wa Kizayuni kuendesha ghasia na vitendo vya mabavu dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi na maangamizi ya kizazi katika Ukanda wa Gaza.

  • Wapalestina waliouliwa shahidi na jeshi la kizayuni Ghaza wakaribia 60,000; 92 wauawa kwa siku moja

    Wapalestina waliouliwa shahidi na jeshi la kizayuni Ghaza wakaribia 60,000; 92 wauawa kwa siku moja

    Jul 29, 2025 07:01

    Idadi ya Wapalestina waliouwa shahidi kwa mashambulizi ya kinyama ya jeshi la utawala wa kizayuni katika Ukanda wa Ghaza inakaribia 60,000 baada ya jeshi hilo katili kuwaua Wapalestina wengine 92 katika muda wa siku moja wakiwemo 41 waliokuwa wakihangaika kupata msaada wa chakula.

  • Wananchi wa Morocco, Tunisia na Iraq waandamana kuwaunga mkono watu wa Gaza

    Wananchi wa Morocco, Tunisia na Iraq waandamana kuwaunga mkono watu wa Gaza

    Jul 28, 2025 02:42

    Wananchi wa Morocco, Tunisia na Iraq wawameandamana katika miji mikuu ya nchi hizo kuonyesha mshikamano na wananchi wa Gaza wakisisitiza kuondolewa mzingiro wa eneo hilo na kukomeshwa sera za utawala wa Kizayuni za kuwasababishia njaa wakazi madhulumu wa eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS