-
Iran yalalamikia uingiliaji wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi
May 04, 2016 23:33Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani uingiliaji wa hivi karibuni wa Marekani katika masuala ya usalama wa Ghuba ya Uajemi.
-
Iran: Uwepo wa US katika Ghuba ya Uajemi unasababisha ukosefu wa usalama
May 04, 2016 10:03Ofisa mwandamizi wa jeshi la majini la Iran amesema uwepo wa majeshi ya Marekani katika Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman unapania kusababisha ukosefu wa usalama na kueneza harakati za kigaidi katika eneo.