-
RSF yalaani kukamatwa waandishi habari nchini Ethiopia, yaamuru waachiwe huru
Jul 13, 2021 23:37Jumuiya ya Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (RSF) imelaani kile ilichokiita "kukamatwa kwa umati" kwa waandishi wa habari 12 wa Ethiopia ambao walitiwa nguvuni ili "kuwazuia kuchunguza kwa uhuru mzozo unaoendelea katika eneo la Tigray".
-
Waandishi habari wa Marekani wataka kuakisiwa jinai za Israel katika vyombo vya habari vya nchi hiyo
Jun 12, 2021 22:20Zaidi ya Waandishi wa habari 500 wa Marekani wamesaini barua ya pamoja wakitaka kuakisiwa na kutangazwa habari zinazohusiana na dhulma na siasa za kibaguzi za Israel huko Palestina.
-
Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari watiwa mbaroni katika eneo la Tigray, Ethiopia
Mar 02, 2021 07:20Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari katika eneo lililoathiriwa na machafuko la Tigray nchini Ethiopia wametiwa mbaroni na kushikiliwa korokoroni. Hayo yameelezwa na familia na wafanyakazi wenzao.
-
IFJ: Waandishi habari karibu mia moja wameuawa mwaka 2018 duniani
Jan 01, 2019 23:20Shirikisho la Kimataifa la Waandishi wa Habari (IFJ) limetangaza kuwa, waandishi habari 94 waliuawa mwaka uliomalizika wa 2018 katika maeneo mbalimbali ya dunia.
-
RSF: Wanahabari 65 wameuawa wakiwa kazini mwaka huu 2017
Dec 19, 2017 10:03Shirika la Maripota Wasio na Mipaka (RSF) limesema jumla ya waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashanaji habari 65 wameuawa mwaka huu 2017 katika sehemu mbali mbali duniani.