Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Afisa wa Hamas: Muqawama wa Gaza umeweza kukabiliana kwa mafanikio na vita vya dunia

    Afisa wa Hamas: Muqawama wa Gaza umeweza kukabiliana kwa mafanikio na vita vya dunia

    May 11, 2024 23:06

    Sami Abu Zuhri, ambaye ni miongoni mwa viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS), amesema kwamba Muqawama na mapambano ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza yamefanikiwa kukabiliana na "vita vya kimataifa," na nchi zilizoifadhili Israel sasa zinaanza kusitisha uungaji mkono wao kwa utawala huo.

  • Askari wa Israel waendelea kuangamizwa na wanamuqawama Gaza

    Askari wa Israel waendelea kuangamizwa na wanamuqawama Gaza

    May 11, 2024 04:29

    Wanajeshi wengine watano wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa katika shambulizi la ulipizaji kisasi lililofanywa na Mujahidina wa Brigedi za Izzuddin al-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Ukanda wa Gaza.

  • Askari 3 wa Israel waangamizwa katika shambulio la HAMAS

    Askari 3 wa Israel waangamizwa katika shambulio la HAMAS

    May 06, 2024 03:42

    Wanajeshi watatu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa katika shambulizi la ulipizaji kisasi lililofanywa na Mujahidina wa Brigedi za Izzuddin al-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.

  • Jitihada za China za kuleta maridhiano ya kitaifa Palestina

    Jitihada za China za kuleta maridhiano ya kitaifa Palestina

    May 01, 2024 23:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ametangaza kuwa kufuatia mkutano wa wawakilishi wa harakati za Palestina za Hamas na Fat'h mjini Beijing, pande mbili zimefikia makubaliano ya kujadili maridhiano ya kitaifa huko Palestina.

  • Blinken aitolea wito Hamas ikubali 'pendekezo barabara sana' la kusitisha vita Ghaza

    Blinken aitolea wito Hamas ikubali 'pendekezo barabara sana' la kusitisha vita Ghaza

    May 01, 2024 07:46

    Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken ameitolea wito Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ikubali pendekezo la makubaliano ya kusitisha mapigano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Miili ya makaburi ya umati Gaza ifanyiwe uchunguzi

    Hamas: Miili ya makaburi ya umati Gaza ifanyiwe uchunguzi

    Apr 26, 2024 23:17

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetoa wito wa kutumwa timu za uchunguzi ili kutambua miili iliyogunduliwa kwenye makaburi ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS: Shambulio la Iran ni haki ya kimaumbile na jibu linalostahiki dhidi ya Israel

    HAMAS: Shambulio la Iran ni haki ya kimaumbile na jibu linalostahiki dhidi ya Israel

    Apr 14, 2024 07:41

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, shambulio lililofanywa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) dhidi ya utawala wa Kizayuni ni jibu la kimaumbile na linalostahiki.

  • HAMAS: Kusitishwa vita kikamilifu ndio msingi wa kufikia mapatano na utawala wa Kizayuni

    HAMAS: Kusitishwa vita kikamilifu ndio msingi wa kufikia mapatano na utawala wa Kizayuni

    Apr 12, 2024 07:47

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, usitishaji vita wa kudumu ndio msingi mkuu wa kufikia mapatano na utawala wa Kizayuni wa Israel juu ya kuwarejesha makwao bila ya masharti yoyote Wapalestina waliolazimika kuyahama makazi yao na kuondoka kikamilifu vikosi vya utawala huo katika Ukanda wa Ghaza.

  • Amir-Abdollahian: Israel imeongeza kasi ya kuporomoka kwake kwa kuwaua watoto na wajukuu wa kiongozi wa HAMAS

    Amir-Abdollahian: Israel imeongeza kasi ya kuporomoka kwake kwa kuwaua watoto na wajukuu wa kiongozi wa HAMAS

    Apr 11, 2024 04:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amesema mauaji ya hivi karibuni yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wanafamilia wa kiongozi wa Hamas yanaongeza kasi ya kuporomoka kusio na shaka kwa utawala huo.

  • HAMAS: Misimamo ya Israel imekwamisha mazungumzo ya Doha

    HAMAS: Misimamo ya Israel imekwamisha mazungumzo ya Doha

    Mar 29, 2024 08:29

    Mmoja wa viongozi waandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema mazungumzo ya kusimamisha vita katika Ukanda wa Gaza yamegonga mwamba huko Doha, mji mkuu wa Qatar kutokana na misimamo isiyoeleweka ya utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS