Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • HAMAS yatahadharisha kuhusu mpango wa kuakhirisha uchaguzi Palestina

    HAMAS yatahadharisha kuhusu mpango wa kuakhirisha uchaguzi Palestina

    Apr 22, 2021 21:53

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ameonya kuwa, hatua yoyote ya kubadilisha kalenda na ratiba ya uchaguzi wa Palestina ambao umesubiriwa kwa muda mrefu itatoa pigo kwa jitihada za kuzipatanisha tawala hasimu katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Khalid Mash'al: Kadhia ya mateka inaongoza katika vipaumbele vya Hamas na wananchi wa Palestina

    Khalid Mash'al: Kadhia ya mateka inaongoza katika vipaumbele vya Hamas na wananchi wa Palestina

    Apr 18, 2021 22:23

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) nje ya Palestina amesema kuwa suala la mateka wa Kipalestina lipo katika mioyo na fikra za wananchi wote na kusisitiza kadhia ya mateka inaongoza katika vipaumbele vya harakati hiyo na wananchi wa Palestina.

  • Khalid Mash'al achaguliwa kuwa kiongozi wa HAMAS nje ya Palestina

    Khalid Mash'al achaguliwa kuwa kiongozi wa HAMAS nje ya Palestina

    Apr 12, 2021 22:22

    Duru zenye mfungamano na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, Khalid Mash'al amechaguliwa kuwa kiongozi wa harakati hiyo nje ya Palestina.

  • Hamas: Kukataa kushirikiana na ICC kunaonesha upeo wa kiburi cha Israel

    Hamas: Kukataa kushirikiana na ICC kunaonesha upeo wa kiburi cha Israel

    Apr 10, 2021 03:15

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kukataa kutoa ushirikiano kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kinaonesha wazi upeo wa jeuri na kiburi cha utawala huo haramu kwa taasisi za kimataifa.

  • Hamas: Kutiwa nguvuni Wapalestina huko Saudia kunawanufaisha Wazayuni

    Hamas: Kutiwa nguvuni Wapalestina huko Saudia kunawanufaisha Wazayuni

    Apr 05, 2021 22:17

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametilia mkazo udharura wa kuachiwa huru makumi ya Wapalestina wanaoshikiliwa mahabusu nchini Saudi Arabia na kusema kuwa, kufungwa kwa Wapalestina hao huko Saudia kunawanufaisha Wazayuni wa Israel.

  • HAMAS: Tuna uhusiano mzuri sana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    HAMAS: Tuna uhusiano mzuri sana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Mar 05, 2021 23:25

    Osama Hamdan, mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, harakati hiyo ina uhusiano mzuri na imara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Hamas: Uvamizi dhidi ya Syria ni ishara ya vitendo vya dhulma vya Israel

    Hamas: Uvamizi dhidi ya Syria ni ishara ya vitendo vya dhulma vya Israel

    Mar 01, 2021 09:20

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, uvamizi wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni katika mji mkuu wa Syria Damascus ni ishara ya vitendo vya dhulma na uonevu vya Wazayuni.

  • Israel yawakamata viongozi kadhaa wa HAMAS na mateka Wapalestina walioachiwa huru

    Israel yawakamata viongozi kadhaa wa HAMAS na mateka Wapalestina walioachiwa huru

    Feb 23, 2021 03:11

    Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umewatia nguvuni viongozi kadhaa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika maeneo ya Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan na Baitul Muqaddas pamoja na mateka Wapalestina waliochiwa huru.

  • Wapalestina Walaani Israel kwa kuzuia chanjo ya Corona kufikishwa Ghaza

    Wapalestina Walaani Israel kwa kuzuia chanjo ya Corona kufikishwa Ghaza

    Feb 16, 2021 22:56

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imelaani kitendo cha utawala haramu wa Israel kuzuia dozi 2,000 za chanjo ya Corona kuwafikia wafanyakazi wa sekta ya afya katika Ukanda wa Ghaza.

  • HAMAS yalaani njama ya kuasisi jumuiya ya jamii za Mayahudi katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    HAMAS yalaani njama ya kuasisi jumuiya ya jamii za Mayahudi katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi

    Feb 16, 2021 09:09

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mpango wa kuasisi jumuiya ya jamii za Mayahudi katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS