-
Hamas: Huenda Trump akaitambua Israel kama dola la Kiyahudi
Dec 24, 2017 04:34Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, Ismail Haniya amesema amepokea taarifa za siri kuwa Washington inapanga kuutambua utawala haramu wa Israel kama dola la Kiyahudi.
-
Hamas yakaribisha takwa la ANC la kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na Israel
Dec 22, 2017 12:13Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imekaribisha kwa mikono miwili takwa la chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kwa serikali ya nchi hiyo la kupunguzwa kiwango cha ushirikiano wa kidiplomasia wa nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.
-
Hamas: Kushambuliwa Ghaza; ni njama zilizofeli za kutaka kuzima Intifadha ya Quds
Dec 18, 2017 23:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuwa mashambulizi makubwa ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza ni njama zilizofeli za kutaka kuzima mapambano ya Intifadha ya kuiunga mkono Quds katika ardhi zote za Palestina.
-
Harakati ya Hamas yaionya Israel kuhusiana na jinai zake dhidi ya Wapalestina
Dec 16, 2017 00:38Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa radiamali yake kuhusiana na jinai ya utawala dhalimu wa Israel ya kuwaua shahidi Wapalestina kadhaa katika maandamanao ya jana ya 'Ijumaa ya Ghadhabu' na kuuonya utawala huo kuhusiana na jinai zake dhidi ya Wapalestina.
-
Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'
Dec 14, 2017 12:31Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, hakuna dola linaloitwa Israel hata mji mkuu wake uwe Quds tukufu.
-
Hamas yasema kesho ni 'Ijumaa ya Ghadhabu' ya kuihami Quds
Dec 07, 2017 11:20Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imeutaja uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kama tangazo la vita huku ikisema kuwa kesho itakuwa Ijumaa ya Ghadhabu na fursa kwa ulimwengu wa Kiislamu kuonyesha hasira zao dhidi ya Washington na Tel Aviv.
-
Hamas yakosoa hatua ya Israel ya kuzuia ujumbe wa Uswisi kutembelea Ukanda wa Ghaza
Nov 30, 2017 12:48Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kuzuia ujumbe wa Uswisi kulitembelea eneo la Ukanda wa Ghaza kwa ajili ya kuonana na wawakilishi na wananchi wa eneo hilo si cha kibinadamu na kinakiuka haki za wananchi wa Palestina.
-
Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala
Nov 28, 2017 04:07Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imepinga mwito wa kuitaka iweke chini silaha kama sehemu ya maridhiano ya kitaifa kati yake na harakati ya Fat'h.
-
Kiongozi wa HAMAS: Serikali ya Mamlaka ya Ndani inaandaa mazingira ya kuyavunja mapatano ya kitaifa ya Palestina
Nov 15, 2017 11:56Mahmoud Az-Zahar, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema masharti yanayotolewa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina yanaandaa mazingira ya kuyavunja mapatano ya kitaifa yaliyofikiwa baina ya Wapalestina.
-
Hizbullah: Muqawama ndilo chaguo la pekee la Wapalestina
Nov 02, 2017 04:27Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuna haja ya kuendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa Wapalestina hawana chaguo jingine ghairi ya muqawama.