Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas: Huenda Trump akaitambua Israel kama dola la Kiyahudi

    Hamas: Huenda Trump akaitambua Israel kama dola la Kiyahudi

    Dec 24, 2017 04:34

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, Ismail Haniya amesema amepokea taarifa za siri kuwa Washington inapanga kuutambua utawala haramu wa Israel kama dola la Kiyahudi.

  • Hamas yakaribisha takwa la ANC la kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na Israel

    Hamas yakaribisha takwa la ANC la kupunguzwa uhusiano wa kidiplomasia wa Afrika Kusini na Israel

    Dec 22, 2017 12:13

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imekaribisha kwa mikono miwili takwa la chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kwa serikali ya nchi hiyo la kupunguzwa kiwango cha ushirikiano wa kidiplomasia wa nchi hiyo na utawala ghasibu wa Israel.

  • Hamas: Kushambuliwa Ghaza; ni njama zilizofeli za kutaka kuzima Intifadha ya Quds

    Hamas: Kushambuliwa Ghaza; ni njama zilizofeli za kutaka kuzima Intifadha ya Quds

    Dec 18, 2017 23:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuwa mashambulizi makubwa ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza ni njama zilizofeli za kutaka kuzima mapambano ya Intifadha ya kuiunga mkono Quds katika ardhi zote za Palestina.

  • Harakati ya Hamas yaionya Israel kuhusiana na jinai zake dhidi ya Wapalestina

    Harakati ya Hamas yaionya Israel kuhusiana na jinai zake dhidi ya Wapalestina

    Dec 16, 2017 00:38

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa radiamali yake kuhusiana na jinai ya utawala dhalimu wa Israel ya kuwaua shahidi Wapalestina kadhaa katika maandamanao ya jana ya 'Ijumaa ya Ghadhabu' na kuuonya utawala huo kuhusiana na jinai zake dhidi ya Wapalestina.

  • Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'

    Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'

    Dec 14, 2017 12:31

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, hakuna dola linaloitwa Israel hata mji mkuu wake uwe Quds tukufu.

  • Hamas yasema kesho ni 'Ijumaa ya Ghadhabu' ya kuihami Quds

    Hamas yasema kesho ni 'Ijumaa ya Ghadhabu' ya kuihami Quds

    Dec 07, 2017 11:20

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imeutaja uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kama tangazo la vita huku ikisema kuwa kesho itakuwa Ijumaa ya Ghadhabu na fursa kwa ulimwengu wa Kiislamu kuonyesha hasira zao dhidi ya Washington na Tel Aviv.

  • Hamas yakosoa hatua ya Israel ya kuzuia ujumbe wa Uswisi kutembelea Ukanda wa Ghaza

    Hamas yakosoa hatua ya Israel ya kuzuia ujumbe wa Uswisi kutembelea Ukanda wa Ghaza

    Nov 30, 2017 12:48

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kuzuia ujumbe wa Uswisi kulitembelea eneo la Ukanda wa Ghaza kwa ajili ya kuonana na wawakilishi na wananchi wa eneo hilo si cha kibinadamu na kinakiuka haki za wananchi wa Palestina.

  • Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala

    Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala

    Nov 28, 2017 04:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imepinga mwito wa kuitaka iweke chini silaha kama sehemu ya maridhiano ya kitaifa kati yake na harakati ya Fat'h.

  • Kiongozi wa HAMAS: Serikali ya Mamlaka ya Ndani inaandaa mazingira ya kuyavunja mapatano ya kitaifa ya Palestina

    Kiongozi wa HAMAS: Serikali ya Mamlaka ya Ndani inaandaa mazingira ya kuyavunja mapatano ya kitaifa ya Palestina

    Nov 15, 2017 11:56

    Mahmoud Az-Zahar, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema masharti yanayotolewa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina yanaandaa mazingira ya kuyavunja mapatano ya kitaifa yaliyofikiwa baina ya Wapalestina.

  • Hizbullah: Muqawama ndilo chaguo la pekee la Wapalestina

    Hizbullah: Muqawama ndilo chaguo la pekee la Wapalestina

    Nov 02, 2017 04:27

    Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuna haja ya kuendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa Wapalestina hawana chaguo jingine ghairi ya muqawama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS