Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Ripoti: Abbas asema hatochagua mawaziri kutoka HAMAS kama hawatokubali kuitambua Israel

    Ripoti: Abbas asema hatochagua mawaziri kutoka HAMAS kama hawatokubali kuitambua Israel

    Oct 30, 2017 23:16

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameripotiwa amesema kuwa hatowachagua wanachama wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS kuwa mawaziri katika serikali yake endapo hawatokuwa tayari kutamka wazi na hadharani kuwa wanautambua utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas yapinga ushirikiano wa kiusalama kati ya serikali ya Abbas na Israel

    Hamas yapinga ushirikiano wa kiusalama kati ya serikali ya Abbas na Israel

    Oct 28, 2017 23:35

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga vikali kuanza tena ushirikiano wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel katika masuala ya kiusalama.

  • Ismail Haniya: jaribio la Israel la kumuua afisa mkuu wa HAMAS limefeli

    Ismail Haniya: jaribio la Israel la kumuua afisa mkuu wa HAMAS limefeli

    Oct 28, 2017 04:34

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio umehusika katika jaribio la mauaji lililofeli dhidi ya afisa wa ngazi ya juu wa harakati hiyo.

  • Naibu Mkuu wa HAMAS: Israel ndio

    Naibu Mkuu wa HAMAS: Israel ndio "Hatari Kuu"

    Oct 26, 2017 11:46

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amezitaka nchi na pande zote za eneo la Mashariki ya Kati zikubaliane na fikra kwamba utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio "Hatari Kuu".

  • HAMAS: Katu hatutautambua rasmi utawala haramu wa Israel

    HAMAS: Katu hatutautambua rasmi utawala haramu wa Israel

    Oct 23, 2017 04:31

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, harakati hiyo katu haitautambua utawala ghasibu wa Israel ambao umekuwa ukitenda jinai kila uchao dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Abu Zuhri: Kinachoipambanua Iran na nchi nyingine, ni uungaji mkono wake wa wazi kwa taifa la Palestina

    Abu Zuhri: Kinachoipambanua Iran na nchi nyingine, ni uungaji mkono wake wa wazi kwa taifa la Palestina

    Oct 22, 2017 04:08

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, jambo liloipambanua Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi nyingine ni uungaji mkono wake wa wazi kwa malengo matukufu ya Palestina.

  • HAMAS yasisitiza kuimarishwa uhusiano wake na Iran

    HAMAS yasisitiza kuimarishwa uhusiano wake na Iran

    Oct 22, 2017 04:06

    Mkuu wa masuala ya kigeni wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, harakati hiyo ina hamu ya kustawisha uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga zote.

  • Hamas: Hakuna wa kutushurutisha tuvunje jeshi letu au tuitambue Israel

    Hamas: Hakuna wa kutushurutisha tuvunje jeshi letu au tuitambue Israel

    Oct 20, 2017 04:28

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema hakuna mtu mwenye uwezo wa kuishurutisha harakati hiyo ya muqawama kuvunja tawi lake la kijeshi au kuutambua utawala haramu wa Israel kama masharti ya kukubali mapatano ya kitaifa ya Wapalestina.

  • Radiamali ya Hamas kwa masharti ya utawala wa Kizayuni ili kukubali mapatano ya Wapalestina

    Radiamali ya Hamas kwa masharti ya utawala wa Kizayuni ili kukubali mapatano ya Wapalestina

    Oct 18, 2017 04:21

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema kuwa inapinga mashatri yaliyotolewa na utawala wa Kizayuni ili kukubali mapatano ya kitaifa ya Wapalestina na kusisitiza kuwa mashatri hayo ni uingiliaji wa masuala ya Palestina.

  • Hamas yasema mahasimu Palestina wafikia maelewano ya kitaifa

    Hamas yasema mahasimu Palestina wafikia maelewano ya kitaifa

    Oct 12, 2017 03:08

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetangaza kufikia mapatano ya maelewano ya kitaifa na chama cha Fat'h kwa lengo la kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa muongo mmoja kuhusu utawala wa Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS