Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas yalaani shambulizi la anga la Israel nchini Syria

    Hamas yalaani shambulizi la anga la Israel nchini Syria

    Sep 07, 2017 23:57

    Harakati ya Mapambnao ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani shambulio la Alkhamisi asubuhi la ndege za utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Syria.

  • Hamas yautaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kuhitimisha mzingiro wa Gaza

    Hamas yautaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kuhitimisha mzingiro wa Gaza

    Aug 30, 2017 03:25

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeutaka Umoja wa Mataifa uchukue hatua za kuhitimisha mzingiro wa kidhulma dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS yawasilisha kwa Misri mpango wa kupunguza makali ya mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza

    HAMAS yawasilisha kwa Misri mpango wa kupunguza makali ya mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza

    Aug 23, 2017 03:15

    Mjumbe mwandamizi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema harakati hiyo imewasilisha kwa serikali ya Misri mpango wa mapendekezo kadhaa ya kupunguza makali ya mzingiro uliowekwa dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Hamas yasisitiza nia njema ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina

    Hamas yasisitiza nia njema ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina

    Aug 11, 2017 21:53

    Afisa wa Uhusiano wa Nje wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, nia njema ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kushughulikia suala la Palestina imethibitika wazi.

  • Mahmoud al-Zahar: Hamas iko tayari kushirikiana na wanaotaka kukombolewa Palestina

    Mahmoud al-Zahar: Hamas iko tayari kushirikiana na wanaotaka kukombolewa Palestina

    Aug 07, 2017 02:38

    Mjumbe mwandamizi wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kushirikiana na watu wote wanaofanya juhudi za kutaka kukombolewa Palestina kutoka katika makucha ya Wazayuni maghasibu.

  • Hamas: Wakati umefika kwa nchi za Kiislamu kuchukua hatua kivitendo dhidi ya Israel

    Hamas: Wakati umefika kwa nchi za Kiislamu kuchukua hatua kivitendo dhidi ya Israel

    Jul 26, 2017 22:52

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ametaka kushinikizwa kivitendo utawala wa Kizayuni ili kutetea na kuunga mkono Msikiti wa al Aqsa.

  • HAMAS yataka kuitishwa kikao cha Waarabu na Waislamu kwa ajili ya al-Aqswa

    HAMAS yataka kuitishwa kikao cha Waarabu na Waislamu kwa ajili ya al-Aqswa

    Jul 21, 2017 22:52

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina imetoa wito wa kuitishwa kikao cha dharura cha viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu kuhusiana na msikiti wa al-Aqswa.

  • Jenerali Mzayuni amuonya Netanyahu kuhusu kuichokoza HAMAS

    Jenerali Mzayuni amuonya Netanyahu kuhusu kuichokoza HAMAS

    Jun 18, 2017 03:21

    Jenerali mmoja Mzayuni amemuonya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu siasa zake mbele ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na kusema huko ni kucheza na moto.

  • Hamas yakataa wito wa Shirika la Msalaba Mwekundu

    Hamas yakataa wito wa Shirika la Msalaba Mwekundu

    Jun 10, 2017 23:55

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga wito uliotolewa na Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu la kutaka kujua hatima ya askari wawili wa Kizayuni waliotoweka katika enro la Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS: Kupanuliwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni moja ya matokeo ya safari ya Trump Mashariki ya Kati

    HAMAS: Kupanuliwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ni moja ya matokeo ya safari ya Trump Mashariki ya Kati

    Jun 07, 2017 10:57

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, kupanuliwa ambako hakujawahi kushuhudiwa kwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kunakofanywa na utawala ghasibu wa Israel katika maeneo ya Wapalestina ni moja ya matokeo ya safari ya Rais Donald Trump wa Marekani katika Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS