Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Nasrullah: Hizbullah imejiandaa kutoa jibu zito kwa uchokozi wa Israel

    Nasrullah: Hizbullah imejiandaa kutoa jibu zito kwa uchokozi wa Israel

    Aug 08, 2021 07:54

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo ya muqawama haitaki vita, lakini pia haigopi vita kwa kuwa ina uhakika wa kuibuka mshindi iwapo vitaibuka.

  • Sheikh Naim Qassim: Tuhuma dhidi ya Hizbullah zina matashi ya kisiasa na lengo na kuipaka matote harakati hiyo

    Sheikh Naim Qassim: Tuhuma dhidi ya Hizbullah zina matashi ya kisiasa na lengo na kuipaka matote harakati hiyo

    Aug 06, 2021 02:22

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, tuhuma za baadhi ya pande dhidi ya harakati hiyo ni za kisiasa na lengo lake ni kuipaka matope harakati hiyo.

  • Kataib Hizbullah: Mapambano yataendelea hadi askari wa mwisho wa Marekani atakapoondoka Iraq

    Kataib Hizbullah: Mapambano yataendelea hadi askari wa mwisho wa Marekani atakapoondoka Iraq

    Jul 09, 2021 08:05

    Afisa wa Batalioni ya Kataib Hizbullah nchini Iraq amesema kuwa mapambano dhidi ya wanajeshi wa Marekani walioko nchini humo yataendelea hadi wanajeshi wote wa nchi hiyo watakapoondoka katika ardhi ya Iraq.

  • Kataib Hizbullah: Saudia inahusika na hujuma zinazolenga mtandao wa umeme wa Iraq

    Kataib Hizbullah: Saudia inahusika na hujuma zinazolenga mtandao wa umeme wa Iraq

    Jul 08, 2021 04:20

    Harakati ya Kataib Hizbullah ya Iraq imetangaza kuwa mashirika ya ujasusi ya Saudi Arabia yanahusika na mashambulio ya kigaidi yanayolenga na kuharibu mtandao wa kusambaza umeme nchini humo.

  • Haniya na Nasrullah wajadili njia za kupata 'ushindi wa mwisho' dhidi ya Israel

    Haniya na Nasrullah wajadili njia za kupata 'ushindi wa mwisho' dhidi ya Israel

    Jun 30, 2021 02:23

    Viongozi wakuu wa mrengo wa muqawama wa Palestina na Lebanon wamejadili kipigo cha hivi karibuni cha Wapalestina wa Ukanda wa Gaza dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, sanjari na kubadilishana mawazo juu ya njia zinazopaswa kufuatwa ili kupata 'ushindi mutlaki' dhidi ya utawala huo haramu.

  • Nasrullah: Kuteka tovuti za muqawama kumefichua unafiki wa Marekani

    Nasrullah: Kuteka tovuti za muqawama kumefichua unafiki wa Marekani

    Jun 26, 2021 12:35

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kitendo cha Marekani cha kuteka na kufunga tovuti kadhaa za vyombo vya habari vya kambi ya muqawama kimedhihirisha unafiki wa Marekani inayodai kuwa mtetezi mkubwa wa demokrasia na uhuru wa kujieleza na wa vyombo vya habari.

  • Upatanishi wa Hizbullah kwa ajili ya kupunguza mivutano ya kisiasa nchini Lebanon

    Upatanishi wa Hizbullah kwa ajili ya kupunguza mivutano ya kisiasa nchini Lebanon

    Jun 26, 2021 02:30

    Vyanzo vya habari vimetangaza habari ya juhudi zinazofanywa na Chama cha Hizbullah ya Lebanon kwa madhumuni ya kuwapatanisha Rais na Spika wa Bunge la Lebanon na vile vile makundi ya kisiasa ya nchi hiyo kwa ajili ya kupunguza mivutano na kufikia muwafaka kuhusu namna ya kubuni serikali mpya ya nchi hyo.

  • Hizbullah: Ukombozi wa Quds umekaribia zaidi ya wakati wowote ule

    Hizbullah: Ukombozi wa Quds umekaribia zaidi ya wakati wowote ule

    May 06, 2021 12:45

    Mkuu wa Baraza Kuu la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema ukombozi wa Quds tukufu umejongea wakati huu, kuliko wakati mwingine wowote ule.

  • Russia na Hizbullah zataka kufunguliwa ofisi ya uwakilishi Moscow

    Russia na Hizbullah zataka kufunguliwa ofisi ya uwakilishi Moscow

    Apr 07, 2021 07:42

    Serikali ya Russia na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon zinatafakari kuhusu uwezekano wa kufunguliwa ofisi ya uwakilishi ya harakati hiyo ya muqawama katika mji mkuu wa Russia, Moscow.

  • Naim Qassim: Kushikamana Waislamu kumesambaratisha njama za US-Israel

    Naim Qassim: Kushikamana Waislamu kumesambaratisha njama za US-Israel

    Apr 01, 2021 10:35

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuungana na kushikamana Waislamu pasina kujali tofauti zao za kimitazamo na kiitikadi kumesambaratisha njama za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel za kuyagawanya vipande vipande mataifa ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS