Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Lebanon yalaani madai ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu Hizbullah

    Lebanon yalaani madai ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu Hizbullah

    Mar 18, 2021 02:48

    Balozi wa Lebanon katika Umoja wa Mataifa amelaani madai yaliyotolewa hivi karibuni na viongozi wa Kizayuni dhidi ya Hizbullah akisisitiza kuwa hayana msingi na yanaingilia masuala ya ndani ya nchi yake.

  • Israel yakiri; Hizbullah inaweza kuvurumisha makombora 2,000 kwa siku dhidi yake

    Israel yakiri; Hizbullah inaweza kuvurumisha makombora 2,000 kwa siku dhidi yake

    Mar 17, 2021 04:36

    Kamanda wa ngazi ya juu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, harakati ya Hizbullah ya Lebanon ina uwezo wa kuvurumisha makombora elfu mbili kwa siku dhidi ya utawala huo haramu iwapo makabiliano ya kijeshi yataibuka baina ya pande hizo katika siku za usoni.

  • Hizbullah yasema itaendelea kusimama na Iran mkabala wa Marekani

    Hizbullah yasema itaendelea kusimama na Iran mkabala wa Marekani

    Feb 21, 2021 07:42

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo ya muqawama itaendelea kusimama bega kwa bega na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kukabiliana na Marekani.

  • Hizbullah yalaani mauaji ya mkosoaji wa harakati hiyo ya Lebanon

    Hizbullah yalaani mauaji ya mkosoaji wa harakati hiyo ya Lebanon

    Feb 05, 2021 12:14

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali mauaji ya mwanaharakati wa kisiasa na mtafiti wa nchi hiyo ya Kiarabu, Lokman Slim aliyeuawa katika mazingira ya kutatanisha.

  • Israel inayahofu makombora yenye shabaha kali ya Hizbullah ya Lebanon

    Israel inayahofu makombora yenye shabaha kali ya Hizbullah ya Lebanon

    Jan 16, 2021 13:41

    Mchambuzi wa masuala ya kijeshi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema, utawala huo umeingiwa na hofu na kiwewe kwa sababu ya makombora yenye shabaha kali ya harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Nasrallah: Lengo la kuuawa kigaidi Soleimani na Abu Mahdi Al Muhandis lilikuwa  ni kuhuisha ISIS

    Nasrallah: Lengo la kuuawa kigaidi Soleimani na Abu Mahdi Al Muhandis lilikuwa ni kuhuisha ISIS

    Sep 30, 2020 07:03

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema magaidi wa Marekani walilenga kuhusisha kundi la kigaidi la ISIS walipowaua shahidi Luteni Jenerali Haj Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na Abu Mahdi al Muhandis, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq (Hashd al Shaabi).

  • Ufaransa yakadhibisha madai ya Marekani dhidi ya Hizbullah

    Ufaransa yakadhibisha madai ya Marekani dhidi ya Hizbullah

    Sep 19, 2020 12:49

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa imesema hakuna ushadidi wowote unaoonyesha kuwa tawi la kijeshi la harakati ya Hizbullah ya Lebanon limefanya magendo ya kemikali kwa ajili ya kutengeneza mada za mlipuko nchini Ufaransa, kama inavyodai Marekani.

  • Nasrullah: Mapambano ya Hizbullah hayaishii ndani ya mipaka ya Lebanon

    Nasrullah: Mapambano ya Hizbullah hayaishii ndani ya mipaka ya Lebanon

    Aug 23, 2020 07:50

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kutekeleza majukumu kwa ajili ya kuisaidia jamii yote ya wanadamu ni jambo la wajibu kwa mujibu wa thamani za Uislamu, na kwamba mipaka ya kijografia na kisiasa haipaswi kuwa kizingiti cha kutekeleza wajibu huo.

  • Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya matatizo yote ya Asia Magharibi

    Hizbullah: Marekani inabeba dhima ya matatizo yote ya Asia Magharibi

    Jul 12, 2020 07:49

    Mkuu wa Baraza la Shuraa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya kupata matatizo nchi za eneo hili la Asia Magharibi.

  • Sayyid Nasrullah: Iran imeweza kupiga hatua licha ya vikwazo

    Sayyid Nasrullah: Iran imeweza kupiga hatua licha ya vikwazo

    Jul 08, 2020 08:05

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanikiwa kupiga hatua za maendeleo na ustawi licha ya vikwazo na mashinikizo ya maadui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS