Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Hizbullah: Safari ya Trump Saudia ni ya kiwendawazimu

    Hizbullah: Safari ya Trump Saudia ni ya kiwendawazimu

    May 21, 2017 14:05

    Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imeitaja safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Saudi Arabia kama ya kiwendawazimu na ambayo haitakuwa na tija yoyote kwa ulimwengu wa Kiislamu.

  • Mrengo wa Hizbullah Lebanon: Msaada wa Marekani kwa utawala wa Saudia utaishia patupu

    Mrengo wa Hizbullah Lebanon: Msaada wa Marekani kwa utawala wa Saudia utaishia patupu

    May 19, 2017 16:23

    Mrengo unaoitwa "Uaminifu kwa Muqawama" katika bunge la Lebanon umesema kuwa, hatua ya Saudia kujiegemeza kwenye misaada ya Marekani inabainisha wazi kuendelea siasa za kichokozi na zilizofeli za utawala wa Aal-Saud katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Utawala haramu wa Israel hauna nafasi aktika mustakabali wa Mashariki ya Kati

    Utawala haramu wa Israel hauna nafasi aktika mustakabali wa Mashariki ya Kati

    Apr 28, 2017 14:40

    Katibu Mkuu wa Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina amesema: "Maadui hatimaye watasalimu amri kuhusu utatuzi wa kisiasa wa kadhia ya Syria na kwa yakini utawala haramu na wa kigaidi wa Israel hauna nafasi katika mustakabali wa Mashariki ya Kati."

  • Hizbullah: Israel itashindwa vibaya zaidi katika vita vipya

    Hizbullah: Israel itashindwa vibaya zaidi katika vita vipya

    Apr 21, 2017 07:36

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa, uwezo wake wa kijeshi ni jambo ambalo limeuzuia utawala haramu wa Israel kuanzisha hujuma na mashambulizi mapya dhidi ya nchi hiyo.

  • Hizbullah na Hamas zalaani hujuma za kigaidi dhidi ya makanisa huko Misri

    Hizbullah na Hamas zalaani hujuma za kigaidi dhidi ya makanisa huko Misri

    Apr 10, 2017 04:18

    Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon imelaani vikali miripuko ya kigaidi katika makanisa mawili nchini Misri iliyosababisha mauaji, na kwamba hujuma hizo dhidi ya Wakristo ni za kishenzi.

  • Serikali ya Lebanon: Tunaihitajia sana Hizbullah kwa ajili ya ulinzi wa nchi

    Serikali ya Lebanon: Tunaihitajia sana Hizbullah kwa ajili ya ulinzi wa nchi

    Mar 11, 2017 02:34

    Waziri Mshauri katika Masuala ya Ikulu ya Rais wa Lebanon, amesema kuwa nchi hiyo inaihitajia sana Harakati ya Hizbullah kwa ajili ya kukabiliana na kuzuia hujuma za utawala haramu wa Israel na makundi ya kigaidi dhidi ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Hizbullah yaipongeza Iran kwa kuunga mkono Palestina

    Hizbullah yaipongeza Iran kwa kuunga mkono Palestina

    Feb 21, 2017 04:45

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuendelea kuunga mkono Palestina wakati nchi zingine zimeegemea upande wa utawala haramu wa Israel.

  • Balozi wa Russia Lebanon: Hizbullah imetoa mchango muhimu katika vita dhidi ya ugaidi

    Balozi wa Russia Lebanon: Hizbullah imetoa mchango muhimu katika vita dhidi ya ugaidi

    Feb 21, 2017 04:05

    Balozi wa Russia nchini Lebanon Alexander Zasypkin ametangaza kuwa tangu Hizbullah ilipoasisiwa hadi hivi sasa imekuwa ni harakati ya muqawama na imetoa mchango muhimu katika mapambano dhidi ya ugaidi nchini Syria na katika kuleta uthabiti nchini Lebanon.

  • Lebanon: Hatua yoyote ya kichokozi ya Israel itapata jibu kali

    Lebanon: Hatua yoyote ya kichokozi ya Israel itapata jibu kali

    Feb 19, 2017 06:35

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ameonya kuwa, iwapo utawala haramu wa Israel utachukua hatua yoyote ya kukanyaga uhuru wa kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu, basi ujiandae kwa jibu kali.

  • Hizbullah: Nchi za Kiarabu zishirikiane na Iran kwa maslahi ya Ghuba ya Uajemi

    Hizbullah: Nchi za Kiarabu zishirikiane na Iran kwa maslahi ya Ghuba ya Uajemi

    Feb 12, 2017 07:07

    Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetoa wito kwa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa lengo la kurejesha amani na uthabiti katika eneo hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS