Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Nasrullah: Misimamo ya kuchupa mipaka inataka kuchafua taswira halisi ya Uislamu

    Nasrullah: Misimamo ya kuchupa mipaka inataka kuchafua taswira halisi ya Uislamu

    Dec 23, 2016 16:24

    Katibu Mkuu wa Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amesema harakati za magenge ya kigaidi na kitakfiri yanayofanya jinai za kutisha eneo la Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Afrika hazina mafungamano yoyote na Uislamu na shakhsia wake mbora na mtukufu, Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Bassil apongeza nafasi chanya ya Hizbullah katika uchaguzi wa Rais wa Lebanon

    Bassil apongeza nafasi chanya ya Hizbullah katika uchaguzi wa Rais wa Lebanon

    Nov 01, 2016 07:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amesifu nafasi chanya ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo katika uchaguzi wa rais uliofanyika jana.

  • Hizbullah Lebanon: Wanamuqawama wetu wanapambana na mabeberu wa dunia Syria

    Hizbullah Lebanon: Wanamuqawama wetu wanapambana na mabeberu wa dunia Syria

    Oct 20, 2016 04:32

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu nchini Lebanon Hizbullah, amesema kuwa wanamapambano wa harakati hiyo wanapambana na mabeberu wa dunia nchini Syria.

  • Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni

    Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni

    Sep 27, 2016 14:08

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Zarif aipongeza Lebanon kwa kuipigisha magoti Israel

    Zarif aipongeza Lebanon kwa kuipigisha magoti Israel

    Aug 15, 2016 07:53

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua mwenzake wa Lebanon kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 10 ya ushindi wa nchi hiyo dhidi ya askari vamizi wa utawala haramu wa Israel.

  • Nasrullah: Makundi kigaidi yanatumikia maslahi ya Marekani

    Nasrullah: Makundi kigaidi yanatumikia maslahi ya Marekani

    Aug 14, 2016 07:01

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameyataka makundi ya kigaidi na kitakfiri kuweka chini silaha na yatambue kuwa harakati zao hazina maslahi kwa yeyote isipokuwa adui Marekani.

  • Hizbullah, Hamas zalaani shambulizi la kigaidi Nice

    Hizbullah, Hamas zalaani shambulizi la kigaidi Nice

    Jul 16, 2016 06:48

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) zimelaani shambulizi la kigaidi lililofanyika katika mji wa Nice nchini Ufaransa.

  • Hizbullah: Magaidi wanaoungwa mkono na Saudia na US, hatari M/Kati

    Hizbullah: Magaidi wanaoungwa mkono na Saudia na US, hatari M/Kati

    Jun 25, 2016 03:11

    Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono kwa hali na mali na Saudia na Marekani yanatishia usalama wa eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Vita Syria si vya Shia na Suni, Saudi Arabia inazuia ukombozi wa Palestina

    Vita Syria si vya Shia na Suni, Saudi Arabia inazuia ukombozi wa Palestina

    Jun 14, 2016 14:19

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema Saudi Arabia sasa imekuwa kizingiti kikubwa katika ukombozi wa Palestina.

  • Nabil Qaouk: Saudia hawauwezi muqawama wa Lebanon

    Nabil Qaouk: Saudia hawauwezi muqawama wa Lebanon

    Jun 14, 2016 02:31

    Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Saudi Arabia haiwezi kuushinda nguvu muqawama wa Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS