Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Marekani yashinikiza kufungwa akaunti 3,000 zaidi za 'Hizbullah'

    Marekani yashinikiza kufungwa akaunti 3,000 zaidi za 'Hizbullah'

    Jun 11, 2016 07:56

    Zaidi ya akaunti 3,000 za benki za watu wanaoaminika kuwa na mafungamano na harakati ya Hizbullah ya Lebanon zinatazamiwa kufungwa karibuni hivi, kufuatia mashinikizo ya Marekani.

  • Sayyid Nasrullah: Israel ingali tishio kuu kwa eneo la M/Kati

    Sayyid Nasrullah: Israel ingali tishio kuu kwa eneo la M/Kati

    May 25, 2016 16:28

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio tishio kuu kwa usalama na amani ya eneo hili.

  • Nasrallah ampongeza kamanda wa Hizbullah aliyeuawa Syria

    Nasrallah ampongeza kamanda wa Hizbullah aliyeuawa Syria

    May 21, 2016 03:55

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah amempongeza kamanda mwandamizi wa harakati hiyo ya muqawama, Shahidi Mustafa Badreddine aliyeuawa Syria wiki jana na kusema alikuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya Israel.

  • Hizbullah yapongeza juhudi za Iran za kusuluhisha matatizo ya eneo

    Hizbullah yapongeza juhudi za Iran za kusuluhisha matatizo ya eneo

    May 16, 2016 06:49

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepongeza sera za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kupambana na ugaidi sambamba na jitada zake za kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazolikabili eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Hizbullah yachunguza namna alivyouawa kamanda wake

    Hizbullah yachunguza namna alivyouawa kamanda wake

    May 13, 2016 07:47

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon ya Hizbullah imesema imeanzisha uchunguzi kubaini namna kamanda wake mwandamizi alivyouawa katika kile kilichotajwa kuwa hujuma ya jeshi la utawala haramu wa Israel.

  • Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    Hizbullah: Saudia inaiunga mkono Israel kukalia kwa mabavu Palestina

    May 06, 2016 13:08

    Afisa mwandamizi wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani kile alichokitaja kuwa juhudi za utawala wa Aal-Saud za kukwamisha muqawama wa Wapalestina dhidi ya utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa serikali ya Saudi Arabia inaunga mkono hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Israel inawapa mafunzo askari wa Saudia

    Israel inawapa mafunzo askari wa Saudia

    Apr 26, 2016 14:22

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amefichua kuwa utawala haramu wa Israel unatoa mafunzo ya kijeshi kwa askari wa Saudi Arabia katika mpango wa siri wa uhusiano wa tawala hizo mbili.

  • Hizbullah yaikosoa Saudia kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Hizbullah yaikosoa Saudia kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Apr 08, 2016 03:11

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali hatua ya utawala wa Saudi Arabia ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.

  • Israel yatishia kumuua Katibu Mkuu wa Hizbullah

    Israel yatishia kumuua Katibu Mkuu wa Hizbullah

    Mar 24, 2016 08:05

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametishia kufanya mauaji ya kigaidi dhidi ya Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel

    Mar 22, 2016 03:37

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema vita vyovyote itakavyoanzisha Israel dhidi ya Lebanon mnamo siku zijazo ni chokochoko ambayo itaugharimu na kuutia hasara kubwa utawala huo haramu wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS