Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Vita vijavyo vitaigharimu mno Israel

    Mar 21, 2016 23:07

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema vita vyovyote itakavyoanzisha Israel dhidi ya Lebanon mnamo siku zijazo ni chokochoko ambayo itaugharimu na kuutia hasara kubwa utawala huo haramu wa Kizayuni.

  • Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon

    Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon

    Mar 19, 2016 04:07

    Baada ya kufichuka awamu mpya ya ujasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon, mbunge mmoja wa nchi hiyo amesema hatua ya Wazayuni kujipenyeza katika laini za mawasiliano ya Lebanon ni hujuma kwa usalama na mamlaka ya kitaifa ya nchi hiyo na ametaka hatua zichukuliwe kukabiliana hali hiyo.

  • Makundi ya Kipalestina yaiunga mkono Harakati ya Hizbullah

    Makundi ya Kipalestina yaiunga mkono Harakati ya Hizbullah

    Mar 18, 2016 04:09

    Makundi kadhaa ya muqawama ya Palestina yametangaza uungaji mkono wao kwa Harakati ya Kiislamu ya nchini Lebanon, Hizbullah

  • Algeria: Saudia ilimhonga dola milioni 2 Nabiil al Arabi

    Algeria: Saudia ilimhonga dola milioni 2 Nabiil al Arabi

    Mar 13, 2016 22:54

    Gazeti la al Shuruq la Algeria limefichua kwamba Saudi Arabia ilimhonga dola milioni mbili Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kiarabu (Arab League) Nabiil al Arabi kwa akiji la kupasisha muswada wa kuitambua harakati ya Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi.

  • Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu

    Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu

    Mar 13, 2016 04:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani hatua ya hivi karibuni ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuitaja harakati hiyo kuwa "kundi la kigaidi" na kusema uamuzi huo ni sawa na "tangazo la hujuma" kutoka Saudi Arabia.

  • Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Algeria yapinga kutajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Mar 12, 2016 04:39

    Algeria kwa mara nyingine imepinga uamuzi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu kuitajwa Hizbullah kuwa kundi la kigaidi.

  • Jumuiya mbalimbali zaendela kulaani uamuzi wa Waarabu wa kuiweka Huzbullah katika makundi ya kigaidi

    Jumuiya mbalimbali zaendela kulaani uamuzi wa Waarabu wa kuiweka Huzbullah katika makundi ya kigaidi

    Mar 09, 2016 04:10

    Jumuiya na taasisi mbalimbali za kimataifa zimeendelea kulaani uamuzi wa nchi kadhaa za Kiarabu zikiongozwa na Saudi Arabia wa kuitambua harakati ya Hizbillah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi.

  • 'Kuitaja Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi ni njama ya Saudia'

    'Kuitaja Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi ni njama ya Saudia'

    Mar 06, 2016 22:34

    Mkuu wa Kamati ya Intifadha ya Quds nchini Iran amesema kuwa kuiita Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi ni njama iliyobuniwa na Saudi Arabia na Wazayuni kwa amri ya viongozi wa Israel.

  • Waitifaki wa Israel wameitaja Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Waitifaki wa Israel wameitaja Hizbullah kuwa kundi la kigaidi

    Mar 06, 2016 03:46

    Kamanda mwandamizi wa kijeshi nchini Iran amesema waitifaki wa utawala haramu wa Israel ndio wallioitaja harakati ya muqawama ya Hizbullah kuwa kundi la kigaidi.

  • Alaeddin Boroujerdi: Msimamo wa PGCC ni tusi kwa serikali na wananchi wa Lebanon

    Alaeddin Boroujerdi: Msimamo wa PGCC ni tusi kwa serikali na wananchi wa Lebanon

    Mar 05, 2016 04:20

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, msimamo wa hivi karibuni wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi dhidi ya Hizbullah ni baraka kwa Israel na ni tusi kwa serikali na wananchi wa Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS