Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Khan aiambia UN: Serikali ya India inaunga mkono chuki dhidi ya Uislamu

    Khan aiambia UN: Serikali ya India inaunga mkono chuki dhidi ya Uislamu

    Sep 26, 2020 12:36

    Waziri Mkuu wa Pakistan amesema serikali ya Kihindu ya India inaunga mkono na kuchochea chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.

  • Amnesty International: Polisi ya India ilishirikiana na magenge ya Wahindu kuwashambulia Waislamu

    Amnesty International: Polisi ya India ilishirikiana na magenge ya Wahindu kuwashambulia Waislamu

    Aug 31, 2020 02:33

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema jeshi la polisi la India lilifanya ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu kwa kushirikiana na magenge ya Wahindu wenye misimamo ya kufurutu mipaka kuwashambulia Waislamu katika mji mkuu New Delhi mapema mwaka huu.

  • Katibu Mkuu wa UN aikosoa serikali ya India kwa ubaguzi inaowafanyia Waislamu wa nchi hiyo

    Katibu Mkuu wa UN aikosoa serikali ya India kwa ubaguzi inaowafanyia Waislamu wa nchi hiyo

    Aug 23, 2020 03:19

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameikosoa serikali ya India kwa ubaguzi inaowafanyia Waislamu wa nchi hiyo.

  • Baraza la Maulamaa India lataka aliyemvunjia heshima Bwana Mtume SAW achukuliwe hatua

    Baraza la Maulamaa India lataka aliyemvunjia heshima Bwana Mtume SAW achukuliwe hatua

    Aug 21, 2020 07:49

    Baraza la Maulamaa wa Kiislamu wa India limeitaka serikali iwachukulie hatua kali na ya haraka waliomvunjia heshima Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Modi azionya China na Pakistan, asema Pakistan ni adui wa kudumu wa India

    Modi azionya China na Pakistan, asema Pakistan ni adui wa kudumu wa India

    Aug 16, 2020 02:17

    Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amezitahadharisha China na Pakistan na kile alichokiita matokeo mabaya ya hatua zao za kuanzisha chokochoko dhidi ya nchi yake.

  • Modi aweka jiwe la msingi la ujenzi wa hekalu mahali ulipobomolewa msikiti wa kihistoria wa India

    Modi aweka jiwe la msingi la ujenzi wa hekalu mahali ulipobomolewa msikiti wa kihistoria wa India

    Aug 06, 2020 04:29

    Waziri Mkuu wa India Narendra Modi ameweka jiwe la msingi la uzinduzi wa ujenzi wa hekalu la Wahindu katika mahali ulipokuwepo msikiti wa kihistoria wa Babri ambao ulibomolewa yapata miaka 30 iliyopita na kusababisha machafuko ya umwagaji damu nchini humo.

  • India yazidisha mbinyo na hatua kali za usalama eneo la Kashmir kabla ya kumbukumbu ya Agosti 5

    India yazidisha mbinyo na hatua kali za usalama eneo la Kashmir kabla ya kumbukumbu ya Agosti 5

    Aug 04, 2020 12:46

    Serikali ya India imepiga marufuku watu kutoka nje katika eneo la Kashmir na kuzidisha hatua kali za usalama kabla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu New Delhi ilipofuta mamlaka ya utawala wa ndani katika eneo hilo lenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu.

  • Mafuriko yaua 189 India na Nepal, milioni 4 waachwa bila makazi

    Mafuriko yaua 189 India na Nepal, milioni 4 waachwa bila makazi

    Jul 19, 2020 10:52

    Watu wasiopungua 189 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini India na katika nchi jirani ya Nepal.

  • Indhari ya Imran Khan kuhusu mauaji ya Wakashmiri

    Indhari ya Imran Khan kuhusu mauaji ya Wakashmiri

    Jul 13, 2020 10:15

    Waziri Mkuu wa Pakistan ametahadharisha kuhusu mauaji ya Wakashmiri yanayofanywa na wanajeshi wa India.

  • China yaionya India baada ya New Delhi kudai wanajeshi wake 20 wameuliwa na wanajeshi wa China mpakani

    China yaionya India baada ya New Delhi kudai wanajeshi wake 20 wameuliwa na wanajeshi wa China mpakani

    Jun 17, 2020 06:26

    Msemaji wa Jeshi la China ametoa onyo kali kwa India kuhusu vitendo vyake vya kichokozi katika eneo la mpaka wa nchi hizo mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS