-
Kukataa India upatanishi wa Marekani katika mzozo wa mpaka kati yake na China
May 31, 2020 09:24Wizara ya Mambo ya Nje ya India imetupilia mbali ombi la rais wa Marekani Donald Trump la kuwa mpatanishi kati ya New Delhi na Beijing kwa ajili ya kutatua tofauti zao za mpakani.
-
India: Madai ya kufanyika mazungumzo ya simu kati ya Narendra Modi na Trump hayana msingi
May 31, 2020 04:41Serikali ya India imeyataja kuwa ya uongo madai ya Rais Donld Trump wa Marekani kwamba amefanya mazungumzo ya simu na Narendra Modi, Waziri Mkuu wa nchi hiyo kuhusiana na masuala ya mzozo wa mpaka kati yake na China.
-
Kimbunga kikali chaua makumi ya watu India na Bangladesh
May 21, 2020 07:46Kwa akali watu 20 wameaga dunia na mamia ya maelfu ya wengine wameachwa bila ya makazi baada ya kimbunga kikali cha Amphan kupiga maeneo ya pwani ya India na Bangladesh.
-
Imran Khan aonya juu ya njama za India dhidi ya Pakistan
May 20, 2020 00:49Waziri Mkuu wa Pakistan ameonya juu ya njama chafu za India dhidi ya nchi yake.
-
Wasiwasi wa Waziri Mkuu wa Pakistan kuhusu harakati za kijeshi za India katika mstari wa udhibiti wa Kashmir
May 09, 2020 07:58Waziri Mkuu wa Pakistan ameonyeshaa wasiwasi mkubwa alionao kuhusiana na harakati mpya za kijeshi za India katika mstari wa udhibiti wa Kashmir (Line of Control) na kuongezeka mashambulio ya jeshi la nchi hiyo dhidi ya mstari huo.
-
Wakashmir wafanya maandamano kulaani kuuliwa na askari wa India mmoja wa makamanda wa eneo hilo
May 08, 2020 02:21Kufuatia kuuliwa mmoja wa makamanda wa ngazi za juu wa eneo la Kashmir katika shambulizi lililofanywa na askari wa India, maelfu ya wakazi wa eneo hilo wamefanya maandamano makubwa kulaani jinai hiyo.
-
Tamko la Kamisheni ya Haki za Binadamu ya OIC la kulaani ukatili wanaozidi kufanyiwa Waislamu wa India
Apr 20, 2020 12:53Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu wa India sambamba na kuenea maambukizo ya virusi vya corona vya COVID-19 nchini humo.
-
OIC yalaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu nchini India
Apr 20, 2020 03:12Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani ukatili unaozidi kufanywa dhidi ya Waislamu wa India sambamba na kuenea maambukizo ya virusi vya corona vya COVID-19 nchini humo.
-
HRW yaitaka serikali ya India kufuta sheria mpya ya uraia inayowabagua Waislamu
Apr 12, 2020 04:23Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeitaka serikali ya India ifutilie mbali sheria mpya ya uraia inayowabagua Waislamu kwa misingi ya dini yao.
-
Serikali ya India yatumia vibaya virusi vya Corona kuwakandamiza Waislamu
Apr 03, 2020 03:00Maulana Badruddin, mbunge katika bunge la India amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo inatumia vibaya virusi vya Corona kama wenzo wa kuwakandamiza Waislamu.