Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yatoa pongezi kufuatia kufanyika uchaguzi wenye mafanikio Kenya

    Iran yatoa pongezi kufuatia kufanyika uchaguzi wenye mafanikio Kenya

    Aug 19, 2022 23:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza wananchi na serikali ya Kenya kwa kufanyika kwa mafanakio uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Abu Turabi Fard: Mateka wa vita wa Iran walizigeuza kambi za Kibaathi madrasa za mafunzo ya Ashura

    Abu Turabi Fard: Mateka wa vita wa Iran walizigeuza kambi za Kibaathi madrasa za mafunzo ya Ashura

    Aug 19, 2022 08:35

    Imamu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema, kwa muda wote walipokuwa wakishikiliwa mateka, mateka wa kivita wa Iran walizigeuza kambi za Kibaathi madrasa za mafunzo na mafundisho ya Ashura.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua makumi msikitini Kabul

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi iliyoua makumi msikitini Kabul

    Aug 18, 2022 23:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililopelekea kuuawa makumi ya watu katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Qalibaf: Marekani ingali inafuatilia sera za ubeberu dhidi ya Iran

    Qalibaf: Marekani ingali inafuatilia sera za ubeberu dhidi ya Iran

    Aug 17, 2022 07:57

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Marekani ya leo, ndiyo ile ile ya huko nyuma ya wakati wa mapinduzi ya serikali Iran ya mwaka 1953 (Mapinduzi ya Mordad 28).

  • Jeshi la Majini la Iran kufanya operesheni maalumu mwaka huu

    Jeshi la Majini la Iran kufanya operesheni maalumu mwaka huu

    Aug 16, 2022 03:20

    Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran amesema vikosi vya baharini vya nchi hii vimejiandaa kikamilifu kufanya operesheni katika bahari yoyote ile duniani, na kwamba vinajiandaa kufanya operesheni maalumu kabla ya kumalizika mwaka huu wa Kiirani unaoisha Julai 22 mwaka 2023.

  • Ulyanov: Vikwazo dhidi ya Iran vitaondolewa karibuni

    Ulyanov: Vikwazo dhidi ya Iran vitaondolewa karibuni

    Aug 16, 2022 03:04

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Taasisi za Kimataifa zenye makao yao mjini Vienna, Austria amesema yumkini vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vitaondolewa karibuni hivi.

  • Amir-Abdollahian: Leo tunakabidihi mapendekezo yetu ya mwisho katika JCPOA

    Amir-Abdollahian: Leo tunakabidihi mapendekezo yetu ya mwisho katika JCPOA

    Aug 15, 2022 07:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, siku zijazo ni siku muhimu kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kwamba Tehran inasubiri uamuzi kutoka upande wa Marekani kuhusu maudhui ya tatu.

  • Kani: Israel inakoseshwa usingizi na kizazi kipya cha Wapalestina

    Kani: Israel inakoseshwa usingizi na kizazi kipya cha Wapalestina

    Aug 14, 2022 03:00

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema kuwaua watoto wa Kipalestina kumegeuka na kuwa jambo la kawaida kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, na umwagaji damu huo unadhihirisha wazi kuwa Wazayuni wanakiogopa kizazi kipya cha Wapalestina.

  • Abdollahian: Lugha ya vitisho dhidi ya Iran haitaambulia chochote

    Abdollahian: Lugha ya vitisho dhidi ya Iran haitaambulia chochote

    Aug 13, 2022 22:31

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani inapaswa kufahamu kuwa, kutumia lugha ya vitisho dhidi ya taifa la Iran hakutakuwa na manufaa yoyote kwa Washington.

  • Marandi: Matukio kuhusu Bolton na Salman Rushdie yanatia shaka

    Marandi: Matukio kuhusu Bolton na Salman Rushdie yanatia shaka

    Aug 13, 2022 06:41

    Mshauri wa timu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mazungumzo ya uondoaji vikwazo huko Vienna ameshangazwa na sadfa ya matukio mawili ya hivi karibuni huko Marekani, na kuashiria kuwa yumkini matukio hayo yanafungamana na mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS