Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan+Russia waanza Tehran

    Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan+Russia waanza Tehran

    Oct 27, 2021 04:42

    Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan+Russia umeanza kufanyika hapa mjini Tehran kwa shabaha ya kujadili changamoto mbambali zinazoikabili nchi hiyo baada ya majeshi ya Marekani kuondoka nchini humo na wanamgambo wa Taliban kuchukua hatamu za uongozi wa nchi.

  • Rais wa Iran ayataka madola ya Ulaya kuwa na mamlaka katika kuchukua maamuzi

    Rais wa Iran ayataka madola ya Ulaya kuwa na mamlaka katika kuchukua maamuzi

    Oct 25, 2021 07:26

    Rais Ibrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza kuwa, madola ya Ulaya yanapaswa kuwa na mamlaka katika kuchukua maamuzi amesema kuwa, maataifa hayo hayapaswi kufanya mambo kwa namna ambayo yataifanya Marekani kuyaona kama sehemu yake ya kupenya na kupitishia mambo yake.

  • Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu katika uga wa nyuklia

    Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu katika uga wa nyuklia

    Oct 24, 2021 11:43

    Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu katika sekta ya nishati ya nyuklia.

  • Rais wa Iran atuma salaamu maalumu za Maulidi na kuzaliwa Mtume (saw) kwa viongozi wa nchi za Kiislamu

    Rais wa Iran atuma salaamu maalumu za Maulidi na kuzaliwa Mtume (saw) kwa viongozi wa nchi za Kiislamu

    Oct 23, 2021 23:55

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ametuma salamu maalumu na mkono wa baraka na fanaka kwa viongozi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya Maulidi na siku ya kuzaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad (saw) na Wiki ya Umoja wa Kiislamu.

  • Madai ya Ufaransa kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran, kuendelezwa sera za kindumakuwili za Ulaya

    Madai ya Ufaransa kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran, kuendelezwa sera za kindumakuwili za Ulaya

    Oct 23, 2021 22:55

    Sambamba na mkutano wa Ijumaa ya wiki hii baina ya wawakilishi wa Marekani na nchi za Ulaya uliofanyika mjini Paris, Ufaransa imeitaka Iran ipunguze shughuli zake za kuzalisha nishati ya nyuklia.

  • Mwanazuoni wa Kisunni Iran asisitiza kuhusu umoja wa Waislamu

    Mwanazuoni wa Kisunni Iran asisitiza kuhusu umoja wa Waislamu

    Oct 23, 2021 08:19

    Mkrugenzi wa Chuo cha Kidini cha Ahul Sunna cha Al Ahnafekhaf katika mkoa wa Khorassan Razavi kaskazini mashariki mwa Iran amesisitiza kuhusu ulazima wa kulinda umoja na mshikamano baina ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni ili kuvunja njama za maadui.

  • Raisi Ebrahim Raisi: Stratijia ya Iran ni kuwepo umoja baina ya Waislamu

    Raisi Ebrahim Raisi: Stratijia ya Iran ni kuwepo umoja baina ya Waislamu

    Oct 21, 2021 04:28

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, stratijia ya Iran ni kuhakikisha kwamba kunakuwepo umoja na mshikamano katika Ulimwengu wa Kiislamu.

  • "Kuzikurubisha pamoja madhehebu za Kiislamu ni hatua ya kistratajia"

    Oct 19, 2021 10:09

    Rais wa Iran amesema wazo la kuzikurubisha pamoja madhehebu za Kiislamu lililobuniwa na Imam Khomeini (MA), Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ni hatua ya kistratajia katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Iran: Mabadilishano ya wafungwa yasihusishwe na mazungumzo ya JCPOA

    Iran: Mabadilishano ya wafungwa yasihusishwe na mazungumzo ya JCPOA

    Oct 19, 2021 09:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inalitazama suala la kubadilishana wafungwa kuwa la kibinadamu, na haitaki kuona likifungamanishwa na mazungumzo ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran yaitaka OIC ilaani mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Afghanistan

    Iran yaitaka OIC ilaani mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Afghanistan

    Oct 18, 2021 21:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa lengo la genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) huko Afghanistan ni kuchochea chuki na uadui wa kimadhehebu na ameitaka Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC ilaani vikali vitendo vya kinyama vya Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS