Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Dozi zaidi ya milioni 16 za chanjo ya corona kuingizwa nchini Iran hivi karibuni

    Dozi zaidi ya milioni 16 za chanjo ya corona kuingizwa nchini Iran hivi karibuni

    Jan 25, 2021 09:16

    Mkuu wa kamati ya afya na tiba ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema, taratibu zinakamilishwa kwa ajili ya kuingiza nchini dozi 16,800,000 za chanjo ya corona kutoka nchi zenye kuaminika na zilizokubalika.

  • Polisi Sudan wakabiliana na waandamanaji wanaolalamikia ughali wa maisha

    Polisi Sudan wakabiliana na waandamanaji wanaolalamikia ughali wa maisha

    Jan 25, 2021 04:09

    Polisi nchini Sudan wamelazimika kutumia gesi ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa na hasira katika mji mkuu Khartoum ambao walikuwa wanalalamikia ugali wa maisha.

  • Wapalestina: Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina

    Wapalestina: Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina

    Jan 24, 2021 23:01

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina na muqawama wa taifa hilo mbele ya jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Waziri wa Afya wa Iran: Utoaji chanjo ya corona nchini utaanza hivi karibuni

    Waziri wa Afya wa Iran: Utoaji chanjo ya corona nchini utaanza hivi karibuni

    Jan 24, 2021 10:31

    Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema, utoaji chanjo ya corona hapa nchini utaanza hivi karibuni.

  • Rouhani: Iran kuanza kutoa chanjo ya Covid-19 ndani ya siku chache zijazo

    Rouhani: Iran kuanza kutoa chanjo ya Covid-19 ndani ya siku chache zijazo

    Jan 23, 2021 08:42

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaanza kutoa chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 hapa nchini katika kipindi cha siku chache zijazo.

  • Zarif: Mlango wa fursa kwa utawala mpya wa Marekani hautabaki wazi milele

    Zarif: Mlango wa fursa kwa utawala mpya wa Marekani hautabaki wazi milele

    Jan 23, 2021 08:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuasa Rais mpya wa Marekani Joe Biden, ahitimishe sera za mashinikizo zilizogonga mwamba za mtangulizi wake Donald Trump na kusisitiza kuwa, "dirisha la fursa kwa timu mpya ya Ikulu ya White House halitabakia wazi milele."

  • Iran kuanzisha kituo kikubwa zaidi cha Teknolojia nchini Kenya

    Iran kuanzisha kituo kikubwa zaidi cha Teknolojia nchini Kenya

    Jan 23, 2021 01:36

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuanzisha kituo kikubwa cha ubunifu na teknolojia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi ikiwa ni katika mkakati wa kuimarisha uhusiano wa nchi hizi mbili rafiki.

  • Zaidi ya wagonjwa milioni 1 na laki 1 na 51,000 wapata afueni ya COVID-19 nchini Iran

    Zaidi ya wagonjwa milioni 1 na laki 1 na 51,000 wapata afueni ya COVID-19 nchini Iran

    Jan 22, 2021 08:22

    Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema kuwa, zaidi ya wagonjwa milioni 1 na laki 1 na 51 elfu wa COVID-19 wamepata afueni nchini Iran.

  • Zarif: Trump ametupwa katika  jaa la taka za historia, jina la Soleimani litang’ara

    Zarif: Trump ametupwa katika jaa la taka za historia, jina la Soleimani litang’ara

    Jan 21, 2021 01:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema rais aliyeondoka Marekani wa Marekani ametupwa katika jaa la taka za historia.

  • Zarif: Mjumbe wa Iran UN hajazungumza na Marekani

    Zarif: Mjumbe wa Iran UN hajazungumza na Marekani

    Jan 21, 2021 00:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa hajafanya mazungumzo yoyote na Marekani kama lilivyodai gazeti moja la Ufaransa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS