-
Kurejea kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA, hatua ya kwanza inayopasa kuchukuliwa na Marekani
Sep 27, 2020 00:38Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akiyataja mapatano ya nyuklia ya JCPOA kuwa ndiyo mapatano mabaya zaidi kwa nchi yake na hatimaye mwezi Mei mwaka 2018 aliiondoa nchi hiyo kwenye mapatano hayo na kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo vikali. Hivi sasa Joe Biden mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Democratic huko Marekani amesema iwapo atashinda uchaguzi huo wa mwezi Novemba mwaka huu atairejesha Marekani katika mapatano hayo ya JCPOA.
-
Taarifa ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; mwendelezo wa misimamo ya kindumakuwili kuhusu haki za binadamu
Sep 26, 2020 06:50Nchi za Magharibi zimekariri tena madai yao ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Iran wakati idadi kubwa ya nchi hizo, kama Ufaransa na Uingereza, zimewekwa kwenye orodha ya wakiukaji wa haki hizo za binadamu.
-
Sisitizo la maseneta wa Marekani, vikwazo vya Trump kwa Iran vimeshindwa
Sep 26, 2020 02:25Serikali ya Donald Trump nchini Marekani na hatua yake ya kujitoa kijeuri katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA hapo mwezi Mei 2018 kama sehemu ya siasa zake za kuiwekea Iran vikwazo vya kiwango cha ambavyo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haijawahi kuwekewa mfano wake katika historia yake yote, imezidi kufeli kiasi kwamba sasa maseneta wa chama cha Democrats wanamshutumu na kumlaumu vikali Trump kwa siasa zake mbovu.
-
Zaidi ya wagonjwa 3,000 wapya wa corona wagunduliwa nchini Iran
Sep 25, 2020 07:45Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran ametangaza kuwa, zaidi ya wagonjwa wapya elfu tatu (3,000) wa COVID-19 wamegunduliwa humu nchini katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita.
-
Ukurasa mpya wa ushirikiano wa kibiashara kati ya Iran na Afghanistan
Sep 25, 2020 03:06Ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afghanistan upo katika mkondo wa kupiga hatua na katika uwanja huo, na kwa mara ya kwanza kumefanyika maonyesho ya kitaalamu ya Iran kwa muda wa siku tatu katika mji mkuu wa Afghanistan Kabul.
-
Hotuba ya Mfalme Salman katika Baraza Kuu la UN; hasira na chuki mkabala wa uwezo mkubwa wa Iran
Sep 24, 2020 23:06Mfalme wa Saudi Arabia, Salman bin Abdulaziz Al Saud amekariri madai yake yasiyo msingi dhidi ya Iran katika hotuba yake kwenye kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
Rais wa Ghana: Nitafanya jitihada za kuimarisha uhusiano wetu na Iran
Sep 24, 2020 04:22Rais Nana Akufo-Addo wa Ghana amesema atafanya juu chini kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Uganda ina hamu ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi, sayansi na Iran
Sep 24, 2020 03:42Spika wa Bunge la Uganda, Rebecca Kadaga amepongeza uhusiano wa kidugu uliopo baina ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, kuna umuhimu wa kuimarishwa zaidi uhusiano huo katika nyuga za uchumi, sayansi na teknolojia baina ya Kampala ya Tehran.
-
Iran na Nigeria kushirikiana zaidi katika masuala ya nishati
Sep 23, 2020 23:13Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Nigeria zimetilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wao katika nyuga mbalimbali hasa za nishati kwa kadiri inavyowezekana.
-
Kamanda Fadavi: Marekani haitoweza kuunda muungano dhidi ya Iran
Sep 23, 2020 23:12Kaimu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, njama za Marekani za kuunda muungano ulio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zitashindwa tu.