Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Wanasayansi wa Iran wapiga hatua kubwa katika utengenezaji wa chanjo ya Corona

    Wanasayansi wa Iran wapiga hatua kubwa katika utengenezaji wa chanjo ya Corona

    Jul 17, 2020 09:40

    Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu wa Iran amesema timu kadhaa za wanasayansi nchini zimepiga hatua kubwa katika utengenezaji wa chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na kirusi cha corona.

  • Ushirikiano wa Russia na Iran ni kwa manufaa ya amani na usalama wa dunia

    Ushirikiano wa Russia na Iran ni kwa manufaa ya amani na usalama wa dunia

    Jul 17, 2020 06:08

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia sambamba na kutangaza kuunga mkono suala la kulindwa na kudumishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na udharura wa kukabiliana na siasa za Marekani za uchukuaji maamuzi ya upande mmoja wamesisitiza juu ya kustawishwa zaidi uhusiano wa Tehran na Moscow.

  • Zarif: Iran haitalipa taifa lolote hata shibri moja ya ardhi yake

    Zarif: Iran haitalipa taifa lolote hata shibri moja ya ardhi yake

    Jul 17, 2020 03:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria juu ya makubaliano ya miaka 25 ya ushirikiano kati ya Iran na China na kusisitiza kuwa, katu Jamhuri ya Kiislamu haitapeana hata shibri moja ya ardhi yake au kuipa nchi yoyote ile ikiwemo China, haki maalumu ya kutumia maeneo yake.

  • Brig. Jen. Shekarchi: Israel itashuhudia nguvu za Iran ikiendelea kufanya shari na uovu

    Brig. Jen. Shekarchi: Israel itashuhudia nguvu za Iran ikiendelea kufanya shari na uovu

    Jul 16, 2020 22:48

    Msemaji wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa, iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea kufanya shari na maovu yake, basi utakabiliwa na pigo kubwa kutoka kwa mrengo wa muqawama na Iran.

  • El Confidential: Mpango wa ushirikiano kati ya Iran na China; kizabo cha usoni kwa Marekani

    El Confidential: Mpango wa ushirikiano kati ya Iran na China; kizabo cha usoni kwa Marekani

    Jul 16, 2020 22:12

    Gazeti moja linalochapishwa kwa lugha ya Kihispania limeandika kuwa mpango wa kamili wa ushirikiano kati ya Iran na China na kizabo cha uso kwa Marekani.

  • Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran

    Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran

    Jul 16, 2020 22:10

    Tangu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipopata ushindi mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini Marekani daima imekuwa na utendaji hasi na wa kihasama dhidi ya taifa hili la Kiislamu.

  • Takwimu za leo za ugonjwa wa corona Iran, zaidi ya wagonjwa laki mbili na 30 elfu wapata afueni

    Takwimu za leo za ugonjwa wa corona Iran, zaidi ya wagonjwa laki mbili na 30 elfu wapata afueni

    Jul 16, 2020 08:00

    Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema, zaidi ya wagonjwa elfu mbili wa Covid-19 wamegunduliwa nchini katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita, huku idadi ya waliopata afueni ya ugonjwa huo ikipindukia 230,000.

  • Safari ya Abbas Araqchi mjini Kabul; ushirikiano mzuri wa Iran na Afghanistan

    Safari ya Abbas Araqchi mjini Kabul; ushirikiano mzuri wa Iran na Afghanistan

    Jul 16, 2020 07:49

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu anayehusika na masuala ya kisiasa amekutana na kufanya mazungumzo mjini Kabul na Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afganistan na kujadili masuala ya kupanua ushirikiano wa pande mbili katika nyanja zote

  • Russia na Ujerumani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina maana

    Russia na Ujerumani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina maana

    Jul 16, 2020 03:24

    Rais wa Russia na Kansela wa Ujerumani wamesisitiza kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran havina umuhimu wowote.

  • 'Dawa ya kutibu virusi vya corona' iliyozalishwa hapa Iran kuingia sokoni karibuni

    'Dawa ya kutibu virusi vya corona' iliyozalishwa hapa Iran kuingia sokoni karibuni

    Jul 16, 2020 02:57

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran karibuni hivi itaanza kusambaza masokoni dawa ya kupambana na virusi ya 'Remdesivir' iliyozalishwa hapa nchini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS