-
Wanasayansi wa Iran wapiga hatua kubwa katika utengenezaji wa chanjo ya Corona
Jul 17, 2020 09:40Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu wa Iran amesema timu kadhaa za wanasayansi nchini zimepiga hatua kubwa katika utengenezaji wa chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na kirusi cha corona.
-
Ushirikiano wa Russia na Iran ni kwa manufaa ya amani na usalama wa dunia
Jul 17, 2020 06:08Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia sambamba na kutangaza kuunga mkono suala la kulindwa na kudumishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na udharura wa kukabiliana na siasa za Marekani za uchukuaji maamuzi ya upande mmoja wamesisitiza juu ya kustawishwa zaidi uhusiano wa Tehran na Moscow.
-
Zarif: Iran haitalipa taifa lolote hata shibri moja ya ardhi yake
Jul 17, 2020 03:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria juu ya makubaliano ya miaka 25 ya ushirikiano kati ya Iran na China na kusisitiza kuwa, katu Jamhuri ya Kiislamu haitapeana hata shibri moja ya ardhi yake au kuipa nchi yoyote ile ikiwemo China, haki maalumu ya kutumia maeneo yake.
-
Brig. Jen. Shekarchi: Israel itashuhudia nguvu za Iran ikiendelea kufanya shari na uovu
Jul 16, 2020 22:48Msemaji wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa, iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea kufanya shari na maovu yake, basi utakabiliwa na pigo kubwa kutoka kwa mrengo wa muqawama na Iran.
-
El Confidential: Mpango wa ushirikiano kati ya Iran na China; kizabo cha usoni kwa Marekani
Jul 16, 2020 22:12Gazeti moja linalochapishwa kwa lugha ya Kihispania limeandika kuwa mpango wa kamili wa ushirikiano kati ya Iran na China na kizabo cha uso kwa Marekani.
-
Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran
Jul 16, 2020 22:10Tangu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipopata ushindi mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini Marekani daima imekuwa na utendaji hasi na wa kihasama dhidi ya taifa hili la Kiislamu.
-
Takwimu za leo za ugonjwa wa corona Iran, zaidi ya wagonjwa laki mbili na 30 elfu wapata afueni
Jul 16, 2020 08:00Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema, zaidi ya wagonjwa elfu mbili wa Covid-19 wamegunduliwa nchini katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita, huku idadi ya waliopata afueni ya ugonjwa huo ikipindukia 230,000.
-
Safari ya Abbas Araqchi mjini Kabul; ushirikiano mzuri wa Iran na Afghanistan
Jul 16, 2020 07:49Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu anayehusika na masuala ya kisiasa amekutana na kufanya mazungumzo mjini Kabul na Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afganistan na kujadili masuala ya kupanua ushirikiano wa pande mbili katika nyanja zote
-
Russia na Ujerumani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina maana
Jul 16, 2020 03:24Rais wa Russia na Kansela wa Ujerumani wamesisitiza kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran havina umuhimu wowote.
-
'Dawa ya kutibu virusi vya corona' iliyozalishwa hapa Iran kuingia sokoni karibuni
Jul 16, 2020 02:57Jamhuri ya Kiislamu ya Iran karibuni hivi itaanza kusambaza masokoni dawa ya kupambana na virusi ya 'Remdesivir' iliyozalishwa hapa nchini.