-
Uchaguzi, sherehe ya kitaifa katika kutimia mwaka wa 41 wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 21, 2020 05:44Duru ya 11 ya uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) imeanza leo Ijumaa tarehe 21 Februari katika mji mkuu Tehran na maelfu ya miji na vijiji katika pembe zote za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Brigedia Jenerali Heidari: Maadui wanaliogopa taifa la Iran kuliko silaha
Feb 20, 2020 23:14Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema maadui wanaliogopa taifa hili zaidi ya wanavyohofishwa na silaha za nchi hii.
-
Uchaguzi, kielelezo cha ushiriki mkubwa wa kisiasa na nguvu ya wananchi wa Iran
Feb 20, 2020 23:11Uchaguzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kipindi cha miaka 41 ya baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu unaotarajiwa kufanyika leo Ijumaa unaakisi umuhimu wa chaguzi katika mfumo wa demokrasia ya kidini nchini Iran.
-
Uchaguzi na uwezo unaozidi kuongezeka wa taifa la Iran mkabala wa Marekani kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu
Feb 19, 2020 04:32Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumanne asubuhi alikutana na maelfu ya wananchi kutoka mkoa wa Azerbaijan Mashariki na kusema kushiriki kwenye uchaguzi ni wajibu wa kidini, kitaifa na kimapinduzi na haki ya kiraia ya wananchi wote.
-
John Bolton akosoa siasa za Trump za mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran
Feb 18, 2020 23:22Mshauri wa Zamani wa Usalama wa Taifa nchini Marekani ambaye binafsi ni miongoni mwa wabunifu wa mpango wa mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran katika serikali ya Rais Donald Trump, amekosoa utekelezaji wa siasa hizo za Trump kuilenga Tehran.
-
Spika wa Iran akutana na Rais wa Lebanon na Sayyid Nasrullah
Feb 18, 2020 04:22Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Michel Aoun wa Lebanon, Spika wa Bunge la nchi hiyo ya Kiarabu, Nabih Berri na Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrullah mjini Beirut.
-
Borrell akosoa msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA
Feb 17, 2020 09:31Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya inayojumuisha Ujerumani, Ufaransa, na Uingereza ni pande ambazo zimekuwa na nafasi muhimu katika kufikiwa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA). Lakini baada ya Markenai kujiondoa katika mapatano hayo, pande hizo hazijachukua hatua za kivitendo kuyalinda na sasa hata maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Ulaya wamekiri kuhusu udhaifu huo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman: Iran ni nchi kubwa katika eneo la magharibi mwa Asia
Feb 16, 2020 12:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesisitiza kuwa, Iran ni nchi kubwa katika eneo la magharibii mwa Asia.
-
Kukinzana ripoti rasmi ya White House na matamshi ya Trump kuhusu kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Soleimani
Feb 15, 2020 23:18Tarehe tatu Januari mwaka huu wa 2020, rais wa Marekani, Donald Trump, alifanya jinai ya kutoa amri ya kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na wanajihadi wenzake tisa karibu na uwanja wa ndege wa Baghdad, huko Iraq.
-
Pelosi: Kumzuia Trump kuanzisha vita dhidi ya Iran ni kwa maslahi ya Wamarekani
Feb 14, 2020 08:31Spika wa Bunge la Wawakilishi katika Kongresi ya Marekani, Nancy Pelosi, ametoa taarifa baada ya kupitishwa azimio la Baraza la Seneti la kumuwekea vizingiti rais wa nchi hiyo kuhusu kuanzisha vita dhidi ya Iran.