Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Zarif: Hakuna uwezekano wowote wa kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Marekani

    Zarif: Hakuna uwezekano wowote wa kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Marekani

    May 16, 2019 22:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefutilia mbali uwezekano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufanya mazungumzo na Marekani kuhusu mapatano ya nyuklia yanayofahamika kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.

  • Sisitizo la Rais Putin la kuwa wazi kusiko na mithili miradi ya nyuklia ya Iran

    Sisitizo la Rais Putin la kuwa wazi kusiko na mithili miradi ya nyuklia ya Iran

    May 16, 2019 21:59

    Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) yalitiwa saini Julai 2015 huko Vienna Austria kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kundi la 5+1.

  • Seneta Tim Kaine wa Marekani: Ni upumbavu Marekani kuingia vitani na Iran

    Seneta Tim Kaine wa Marekani: Ni upumbavu Marekani kuingia vitani na Iran

    May 16, 2019 01:53

    Seneta Tim Kaine wa jimbo la Virginia nchini Marekani amesema kuwa juhudi za kuisukuma Marekani iingie katika vita na Iran ni za upumbavu na hatari sana.

  • Putin: Leo hii Iran ndiyo yenye miradi iliyo wazi zaidi ya nyuklia duniani

    Putin: Leo hii Iran ndiyo yenye miradi iliyo wazi zaidi ya nyuklia duniani

    May 15, 2019 22:28

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, tangu yalipofikiwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwaka 2015 hadi hivi sasa, Iran imekuwa ndiyo nchi yenye miradi iliyo wazi zaidi ya nyuklia duniani.

  • Safari ya Pompeo Russia: Jitihada zilizofeli za kupunguza hitilafu baina ya Washington na Moscow

    Safari ya Pompeo Russia: Jitihada zilizofeli za kupunguza hitilafu baina ya Washington na Moscow

    May 15, 2019 22:04

    Uhusiano wa Marekani na Russia katika zama za baada ya vita baridi umekumbwa na pandashuka nyingi sana. Pamoja na hayo mgogoro wa Ukraine mwaka 2014, na baada ya hapo, yaani katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, uhusiano wa Moscow na Washington umechukua mkondo wa kuzorota na hali imekuwa mbaya zaidi baada ya Marekani kuiwekea Russia vikwazo.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran haitaingia vitani wala kufanya mazungumzo na Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Iran haitaingia vitani wala kufanya mazungumzo na Marekani

    May 14, 2019 23:28

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amefutilia mbali uwezekano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuingia vitani na Marekani licha ya kushtadi taharuki baina ya pande mbili na kusisitiza kuwa, Washington inafahamu vyema kuwa, kuingia katika vita na Tehran hakutakuwa na maslahi yoyote kwake.

  • Mkutano wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya na sisitizo la kutekelezwa makubaliano ya JCPOA

    Mkutano wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Ulaya na sisitizo la kutekelezwa makubaliano ya JCPOA

    May 14, 2019 21:47

    Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya (Ujerumani, Ufaransa na Uingereza) daima zimekuwa zikiunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kutekelezwa kwake.

  • Jeshi la Majini la Iran: Maadui hawawezi kuthubutu kuishambulia Iran

    Jeshi la Majini la Iran: Maadui hawawezi kuthubutu kuishambulia Iran

    May 14, 2019 07:16

    Kamanda wa Kikosi cha Majini cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema maadui hawana ubavu wala uthubutu wa kuishambulia Jamhuri ya Kiislamu kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi na kiulinzi wa taifa hili.

  • Zarif: Marekani inaongeza hali ya wasiwasi dhidi ya Iran bila ya sababu yoyote

    Zarif: Marekani inaongeza hali ya wasiwasi dhidi ya Iran bila ya sababu yoyote

    May 14, 2019 06:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameliambia shirika la habari la INI la nchini India kwamba, Tehran daima imekuwa ikisimama kidete kujilinda na shari za maadui na kwamba Marekani inaendelea kuleta hali ya wasiwasi dhidi ya Iran bila ya sababu yoyote.

  • Rouhani: Mapinduzi ya Kiislamu ni ya wafuasi wa madhehebu na dini zote za Iran

    Rouhani: Mapinduzi ya Kiislamu ni ya wafuasi wa madhehebu na dini zote za Iran

    May 14, 2019 03:28

    Rais Hassan Rouhani amesema Mapinduzi ya Kiislamu sio ya wafuasi wa dini au madhehebu moja tu, bali ni ya watu wa dini na madhehebu zote za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS