-
Wakristo wa Iran wamwambia Pompeo: Wafuasi wa dini za wachache Iran hawahitajii usimamizi wa Marekani
Aug 12, 2018 22:21Jumuiya ya Wakristo wa Assyrian nchini Iran imejibu ujumbe wa Twitter wa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani aliyedai kuwa wafuasi wa dini za waliowachache wanasumbuliwa na kunyimwa haki zao za binadamu hapa nchini kwa kusema kuwa: Wafuasi wa dini za waliowachache nchini Iran hawahitaji usimamizi wa Marekani.
-
Rouhani na Putin wabadilishana mawazo kuhusu masuala ya kikanda na kimataifa
Aug 12, 2018 09:07Marais wa Iran na Russia wamejadili na kubadilishana mawazo kuhusu masuala ya pande mbili, ya kikanda na kimataifa katika mazungumzo yao yaliyofanyika leo kandokando ya mkutano wa 5 wa viongozi wa nchi za pwani mwa Bahari ya Kaspi unaofanyika nchini Kazakshtan.
-
Indhari ya Shirika la Kimataifa la Nishati kuhusu kuiwekea vikwazo vya mafuta Iran
Aug 12, 2018 02:45Rais Donald Trump wa Marekani tarehe Nane Mei mwaka huu alikariri madai yasiyo na msingi dhidi ya Iran na kutangaza kujitoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuvirejesha vikwazo vya nyuklia katika muda wa miezi mitatu hadi sita ijayo. Duru ya kwanza ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran imeanza kutekelezwa tangu tarehe 7 mwezi huu wa Agosti; hatua iliyolaaniwa vikali kimataifa.
-
Kiwango cha usafirishaji bidhaa za Iran Kenya chaongezeka
Aug 12, 2018 01:58Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya amesema kiwango cha bidhaa za Iran zinazosafirishwa kupelekwa nchini humo kimeongezeka.
-
Zarif: Hakuna mazungumzo baina ya Iran na Marekani, mkutano wa New York
Aug 11, 2018 22:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha ripoti za vyombo vya habari kuhusu uwezekano wa kufanyika mazungumzo baina ya maafisa wa Iran na Marekani kandokando ya mkutano ujao wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York.
-
Marekani imebakia kuangalia kwa macho tu uwezo wa kijeshi wa Iran Ghuba ya Uajemi
Aug 09, 2018 09:10Kamanda wa Komandi Kuu wa Jeshi la Marekani amezungumzia luteka mazoezi ya kijeshi yaliyoifanywa hivi karibuni na Jeshi la Majini la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la Hormoz na kukiri uwezo mkubwa wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Sharti la Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani kwa ajili ya kuzungumza na Iran bila ya masharti
Aug 08, 2018 02:54Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani ameainisha sharti kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Iran licha ya ombi la Rais Trump la kutaka kufanya mazungumzo na Iran bila ya masharti yoyote.
-
Trump aendelea kutoa vitisho dhidi ya washirika wa kibiashara wa Iran
Aug 07, 2018 23:46Rais Donald Trump wa Marekani amezitishia tena nchi zenye uhusiano wa kibiashara na Iran baada ya kupuuzwa amri aliyotoa ya kutekelezwa tena vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Onyo la maafisa wa zamani wa kijasusi wa Marekani kuhusu nyaraka bandia za Netanyahu dhidi ya Iran
Aug 07, 2018 01:45Israel ambayo inahesabiwa kuwa mmoja wa maadui wakubwa wa Iran katika eneo la Mashariki ya Kati daima inafanya njama na kueneza madai ya uongo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hususan katika mradi wake wa amani wa nyuklia lengo lake kuu likiwa ni kutaka kupoteza imani ya jamii ya kimataifa na kuifanya ichukue hatua dhidi ya Iran.
-
Tuhuma hewa za Pompeo dhidi ya Iran; kuendelezwa mtazamo wa kiuadui wa Marekani
Aug 06, 2018 09:04Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA tarehe 8 Mei mwaka huu, iliamua kushadidisha mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.