Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yaishukuru China kwa uungaji mkono wake katika vita vya US,Israel

    Iran yaishukuru China kwa uungaji mkono wake katika vita vya US,Israel

    Jul 16, 2025 04:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepongeza hatua ya China ya kulaani vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Israel na Marekani dhidi ya ardhi na mamlaka ya kujitawala Iran, huku akisisitiza utayarifu wa Tehran wa kuimarisha zaidi uhusiano huo wa kirafiki na Beijing.

  • Iran: Israel imekamia ‘kukamilisha mradi wa kikoloni wa mauaji ya kimbari’ ya Wapalestina

    Iran: Israel imekamia ‘kukamilisha mradi wa kikoloni wa mauaji ya kimbari’ ya Wapalestina

    Jul 16, 2025 03:28

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia Msemaji wake wa Wizara ya Mambo ya Nje imeulaani vikali utawala wa kizayuni wa Israel kwa kukamia "kukamilisha mradi wake wa kikoloni wa mauaji ya kimbari" dhidi ya Wapalestina kupitia mashambulio mabaya zaidi na angamizi zaidi.

  • Afisa wa zamani wa CIA: Lengo hasa la Israel ni

    Afisa wa zamani wa CIA: Lengo hasa la Israel ni "kubadilisha utawala" nchini Iran

    Jul 15, 2025 12:10

    Philip Giraldi, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mshauri wa masuala ya usalama aliyewahi kuwa afisa wa intelijensia wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA amesema, uchokozi wa kijeshi uliofanywa na Israel dhidi ya Iran "ulikusudiwa kihakika" kuharibu diplomasia, kwani lengo lake kuu katika eneo la Ghuba ya Uajemi ni "kuleta mabadiliko ya utawala nchini Iran".

  • Rais wa Iran: Israel inataka kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu

    Rais wa Iran: Israel inataka kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu

    Jul 15, 2025 01:28

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kudhoofisha na kuzusha migawanyiko miongoni mwa mataifa ya Kiislamu.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiandaa kukabiliana na chokochoko za maadui

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiandaa kukabiliana na chokochoko za maadui

    Jul 15, 2025 01:04

    Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina imani na usitishaji vita uliopo, na kwamba imejiandaa kukabiliana na senario tofauti za uchokozi wa maadui.

  • Pezeshkian: Mlango wa diplomasia ungali wazi; awaonya maadui

    Pezeshkian: Mlango wa diplomasia ungali wazi; awaonya maadui

    Jul 14, 2025 12:40

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Jamhuri ya Kiislamu inaamini kuwa dirisha la diplomasia bado liko wazi na kwamba nchi hii itatumia uwezo wake wote wa kisiasa kusonga mbele katika njia hii.

  • Iran: Tutatoa jibu mwafaka iwapo tutarejeshewa vikwazo vya UN

    Iran: Tutatoa jibu mwafaka iwapo tutarejeshewa vikwazo vya UN

    Jul 14, 2025 11:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amesema jaribio lolote la kuanzisha kile kinachoitwa utaratibu wa kurudisha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya taifa hili ni sawa na hatua ya makabiliano ambayo itapokea jibu mwafaka kutoka Tehran.

  • Iran: Itibari ya Troika ya Ulaya imeporomoka kwa kuunga mkono uvamizi wa Israel

    Iran: Itibari ya Troika ya Ulaya imeporomoka kwa kuunga mkono uvamizi wa Israel

    Jul 14, 2025 10:42

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya sheria na kimataifa amesema kuwa Troika ya Ulaya, yaani Ufaransa, Ujerumani na Uingereza zilisambaratisha itibari na uaminifu wao wenyewe kwa kuunga mkono vitendo vya uchokozi vya utawala wa Israel dhidi ya Iran.

  • Jenerali Mousavi: Makombora ya Iran yalikata mikono ya maadui

    Jenerali Mousavi: Makombora ya Iran yalikata mikono ya maadui

    Jul 14, 2025 09:13

    Kamanda mkuu wa Jeshi la Iran amevipongeza vikosi vya anga vya nchi hii kwa mashambulio madhubuti ya makombora waliyoyafanya dhidi ya maadui wa taifa hili mwezi uliopita na kuonya kwamba, kosa lolote litakalorudiwa litakabiliwa kwa jibu kali zaidi.

  • Kupungua uungaji mkono wa wafuasi wa MAGA kwa vita vya Israel dhidi ya Iran; sababu, matokeo na athari zake kwa siasa za Marekani

    Kupungua uungaji mkono wa wafuasi wa MAGA kwa vita vya Israel dhidi ya Iran; sababu, matokeo na athari zake kwa siasa za Marekani

    Jul 14, 2025 05:41

    Katika miezi ya hivi karibuni, anga ya kisiasa ya Marekani imeshuhudia mabadiliko makubwa katika mtazamo wa wafuasi wa MAGA yenye maana ya Ifanye Tena Kuu Marekani, (Make America Great Again) kuhusiana na vita vya Israel dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS