Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Tehran yaikosoa Magharibi kwa kutoweza kutatua migogoro inayojitengenezea yenyewe

    Tehran yaikosoa Magharibi kwa kutoweza kutatua migogoro inayojitengenezea yenyewe

    May 17, 2026 02:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemsihi mwandishi anayepinga ukoloni, Aimé Césaire, kulaani uozo wa maadili, unafiki na kushindwa kwa nchi za Magharibi kukabiliana na migogoro iliyotokana na vita na udhibiti wao.

  • Sheikh Qassim: Imamu Khamenei alirejesha Umma kwenye Uislamu halisi

    Sheikh Qassim: Imamu Khamenei alirejesha Umma kwenye Uislamu halisi

    May 16, 2026 02:52

    Mwanazuoni mkuu wa Bahrain, Ayatullah Sheikh Isa Qassim amemsifu Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Imam Ali Khamenei, kama "mtu aliyerudisha Umma kwenye Uislamu halisi."

  • Araqchi: Ubadilishanaji wa teknolojia na rasilimali watu ufanyike bila vikwazo kati ya wanachama wa BRICS

    Araqchi: Ubadilishanaji wa teknolojia na rasilimali watu ufanyike bila vikwazo kati ya wanachama wa BRICS

    May 16, 2026 02:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika Mkutano wa Pili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa BRICS kwamba: Ubadilishanaji wa teknolojia na rasilimali watu unapaswa kufanywa bila vikwazo miongoni mwa wanachama wa BRICS.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awaonya maadui, mkijaribu mtashindwa tena

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awaonya maadui, mkijaribu mtashindwa tena

    May 15, 2026 09:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amezionya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuanzisha tena hatua mpya za kijeshi dhidi ya Iran, akisema kuwa makabiliano ya awali yalishindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa, na kwamba jaribio lolote la baadaye litakuwa na matokeo yaleyale.

  • Qalibaf: Maigizo ya Marekani Hormuz yanaweza kusababisha mgogoro mpya wa kifedha duniani

    Qalibaf: Maigizo ya Marekani Hormuz yanaweza kusababisha mgogoro mpya wa kifedha duniani

    May 15, 2026 09:45

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge), Mohammad-Baqer Qalibaf, ameonya kuwa juhudi za Marekani za kuendeleza mvutano wa kijeshi karibu na Mlango Bahari wa Hormuz zinaweza kusababisha mgogoro mpya wa kifedha duniani, wakati ambapo deni la taifa la Marekani tayari limefikia kiwango kikubwa cha dola trilioni 39.

  • Satelaiti tatu za Iran kurushwa katika anga za mbali karibuni

    Satelaiti tatu za Iran kurushwa katika anga za mbali karibuni

    May 15, 2026 09:33

    Shirika la Anga za Mbali la Iran (ISA) limetangaza kwamba satelaiti tatu zilizotengenezwa ndani ya nchi zimeingia katika hatua ya mwisho ya majaribio, ishara kwamba mpango wa anga wa kiraia wa nchi hii unastawi kwa kasi licha ya mashinikizo kutoka nchi za Magharibi na utawala wa Kizayuni.

  • Araqchi katika mkutano wa BRICS New Delhi: Ushawishi wa Marekani unapungua

    Araqchi katika mkutano wa BRICS New Delhi: Ushawishi wa Marekani unapungua

    May 14, 2026 10:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi amesema kuwa wananchi wa Iran "wamesimama kidete na kwa fahari " dhidi ya machafuko ya kutisha, na kamwe hawatasalimu amri mbele ya matakwa ya Marekani nchi ambayo ushawishi wake duniani unazidi kupungua.

  • Barua ya wanasayansi zaidi ya 1,000 yasisitiza kulindwa vyuo vikuu vya Iran dhidi mashambulizi ya Marekani na Israel

    Barua ya wanasayansi zaidi ya 1,000 yasisitiza kulindwa vyuo vikuu vya Iran dhidi mashambulizi ya Marekani na Israel

    May 14, 2026 03:27

    Mamia ya wanachama wa Muungano wa Kimataifa wa Wanasayansi Duniani wameandika barua ya wazi kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UNESCO, na Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa wakitaka kulindwa taasisi za kisayansi nchini Iran, na pande vamizi yaani Marekani na Israel ziwajibishwe.

  • Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Uko Imara Zaidi ya Ulivyokuwa Huko Nyuma

    Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Uko Imara Zaidi ya Ulivyokuwa Huko Nyuma

    May 13, 2026 13:11

    Waziri Mkuu wa zamani wa Qatar ameeleza katika mahojiano marefu aliyofanyiwa na televisheni ya Al Jazeera kwamba, Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uko mara zaidi hivi sasa kuliko ulivyokuwa huko nyuma.

  • Viongozi wa dini wafanya maandamano ya amani ya 'Moral Monday' mjini Washington kulaani 'vita visivyo vitakatifu' vya Trump

    Viongozi wa dini wafanya maandamano ya amani ya 'Moral Monday' mjini Washington kulaani 'vita visivyo vitakatifu' vya Trump

    May 13, 2026 12:11

    Viongozi wa imani za dini walifanya maandamano ya amani ya Jumatatu ya Maadili (Moral Monday) nje ya Ikulu ya White House dhidi ya 'vita visivyo vitakatifu' katika eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS