-
Iran na Zimbabwe zajadili njia za kukabiliana na vikwazo vya Marekani
Nov 28, 2021 23:54Maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe wamekutana mjini Tehran kujadili njia za kukabiliana na vikwazo vya Marekani katika sekta ya biashara.
-
Rais wa Iran ampongeza mwenzake wa Mauritania kwa mnasaba wa Siku ya Taifa
Nov 28, 2021 23:47Rais Ibrahim Raisi wa Iran amemtumia ujumbe wa pongezi rais wa Mauritania kwa mnasaba wa siku ya taifa ya nchi hiyo.